Je na wanaoiba pesa na kijenga ughaibuni, sawa yao ni nini?
Wananchi wanaangalia nini alilitendea taifa.
Mambo aliyofanya mazuri yanawagisa wananchi Moja Kwa Moja. Mambo aliyofanya kikwete na mambo anayofanya mama yanawagusa wachache wenye nafasi za kipesa au madaraka.
Kipesa ni kwamba wanaweza mhonga waziri au mtu yeyote yule Kwa mahitaji yao.
Kipindi Cha Magufuri haikua hivyo. Hata kama ilikuwepo ni Kwa kiasi kidogo na Kwa kujificha sio public kama ilivyo saiz.
Maisha Kwa wananchi wa kawaida yalikua mazuri Kwa maana ya upatikanaji wa mahitaji.
Saiz Kwa mama mahitaji ya msingi imekua shida kuyapata. Uzembe na uwajibikaji umerudi kama enzi za JK.
Tuache ushabiki kama ushabiki, tuzungumze ukweli na uhalisia bila kumumunya maneno.