naomba msaada juu ya ku flash sim, pia application zinazotumika kuflash ikiwezekana uniambie zinavyopatikana for free.Nikiwa mbobezi katika masuala ya simu hasa Android na kompyuta nakaribisha maswali kuhusiana na matatizo hasa ya software tu....na ushauri wa app muhimu kuwa nazo kwenye simu.......je simu yako ina nafasi ndogo? Je unaitaji kuhifadhi mafaili yako milele? ...
NAKARIBISHA MASWALI........
Sawa wasiliana nami uje zichukua...Mkuu naomba program za kuflash simu Niko na kakijiwe na kuburn napataga visim vya kuflash nakosa izo book 5 zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Sjui mkuuSawa wasiliana nami uje zichukua...
Je unafahamu jinsi ya kuzitumia?
Je 7 siwezi weka?Hapana haijawekwa kwa upgrade ya android 8 hapo wamemaliza
Wewe unapatikana wapi mkuu na Mimi shida yangu ni kama hyoSawa wasiliana nami uje zichukua...
Je unafahamu jinsi ya kuzitumia?
Maelezo yote weka hapa kaka wengi tujifunze, huko PM si kuzuri.Kuongeza nafasi download app inaitwa cloud.mail.ru ....Kubadili imei issue inategemea na aina ya simu yenyewe kwa zaidi ni PM
naomba programm za kuflash.Maelezo sijajua unataka app za kuflash simu au unataka kuflash simu?
Mkuu ungetuwekea hapa list ya hizo application tunufaike woteSawa wasiliana nami uje zichukua...
Je unafahamu jinsi ya kuzitumia?
Unfortunately, Google app has stopped, Facebook has stopped unfortunately, haya yananima raha katika simu yangu msaada tafadhal
Sent using Jamii Forums mobile app