maaniko pia yanasema AMELAANIWA YULE AMTEGEMEAE MWANADAMU kutegemea msaada wa mganga ni chukizo kwa Mungu, maandiko hayao hayo yanasema MIMI NI BWANA MUNGU WAKO USIABUDU MIUNGU MINGINE unganga na uchawi ni ibada kwa miungu..kaka kama wafata maandiko yafate yote na si yale tu yanayokupa kile utakacho
Vipi yale maandiko yanayosema funga mlango wako nami nitakulinda