Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,508
- 13,974
Habari za mchana wa leo?
Katika siku hizi kumekuwapo na tatizo SUGU sana la usaliti hasa kwa walioko kwenye mapenzi/mahusiano.Wengi hupenda kuita michepuko au nyumba ndogo.kidumu nk
Kuna jamaa yangu yupo Kigoma ameniambia kuwa kuna mtaalamu wa kuweka TEGO a.k.a PASSWORD hii inasema itanisaidia kujua mwizi wangu wa mke wangu kama ifuatavyo:
#1 .Ipo dawa ya kutega ili niweze kumkata mwizi wangu wangu IKIWA anatembea na mke wangu,hii inamaanisha watang'ang'aniana.
#2 .Ipo dawa ya kufanya mtu akose NETWORK/HISIA za mapenzi pindi watakapo kuwa faragha na huyo mwizi/dowezi
#3 .Ipo dawa ya kutegana wote wawili kila mtu kutokuwa na mawazo ya kuchepuka,na ikitokea kuchepuka niliyotaja hapo juu,moja laweza kutokea.
Nimejiuliza maswali kadhaa je vipi kuhusu imani yangu? Nimejipa moyo wa kufanya hilo kwani hata Mungu hapendi wezi,alisema hayo kupitia maandiko yake,pia hapendi na Uzinzi nk.
Wadau jamaa anazidi kunishauri niende akanipe hiyo dawa BURE,na anasema inachukua chini ya dk5 kukamilisha zoezi.
Sina shaka na my wife ila dunia ya sasa inapelekea kufikiria tahadhari ni bora.
Wadau naomba mawazo yenu juu ya wito wa jamaa yangu wa kwenda Kigoma kufuata tego a.k.a password.
Katika siku hizi kumekuwapo na tatizo SUGU sana la usaliti hasa kwa walioko kwenye mapenzi/mahusiano.Wengi hupenda kuita michepuko au nyumba ndogo.kidumu nk
Kuna jamaa yangu yupo Kigoma ameniambia kuwa kuna mtaalamu wa kuweka TEGO a.k.a PASSWORD hii inasema itanisaidia kujua mwizi wangu wa mke wangu kama ifuatavyo:
#1 .Ipo dawa ya kutega ili niweze kumkata mwizi wangu wangu IKIWA anatembea na mke wangu,hii inamaanisha watang'ang'aniana.
#2 .Ipo dawa ya kufanya mtu akose NETWORK/HISIA za mapenzi pindi watakapo kuwa faragha na huyo mwizi/dowezi
#3 .Ipo dawa ya kutegana wote wawili kila mtu kutokuwa na mawazo ya kuchepuka,na ikitokea kuchepuka niliyotaja hapo juu,moja laweza kutokea.
Nimejiuliza maswali kadhaa je vipi kuhusu imani yangu? Nimejipa moyo wa kufanya hilo kwani hata Mungu hapendi wezi,alisema hayo kupitia maandiko yake,pia hapendi na Uzinzi nk.
Wadau jamaa anazidi kunishauri niende akanipe hiyo dawa BURE,na anasema inachukua chini ya dk5 kukamilisha zoezi.
Sina shaka na my wife ila dunia ya sasa inapelekea kufikiria tahadhari ni bora.
Wadau naomba mawazo yenu juu ya wito wa jamaa yangu wa kwenda Kigoma kufuata tego a.k.a password.