Baba Mtakatifu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,324
- 2,435
Ukiangalia kwa haraka haraka Huwezi ona cha ajabu, Ila ukitathmini kwa kina utatoka na maswali mengi tu .
Kipindi ile kona inataka kupigwa kwanza kulikuwa na mipira miwili uwanjani, wakati mmoja unatolewa wakati huo huo mchezaji ambae alikuwa kwenye ile position ya kupiga kona (Alexender Anorld)akawa anaondoka ili mchezaji mwingine aje apige(Shakiri), wakaki huo huo Shakiri akiwa anatazama chini akawa anaelekea kupiga ile kona.
Wakati huo si wachezaji wa Liver wala wa Barca waliokuwa tayari wamejiandaa kucheza kona ile maana mpigaji ndio alikuwa anaelekea kwenda kupiga.
Mara ghafla yule mchezaji aliyekuwa anaacha kona aje apige Shakiri Mara akarudi ghafla huku akiwa hajajiandaa akaipiga ile kona Kama vile anatoa pass , ambayo ilimkuta Origi ambae alikuwa katikati kabisa na kufunga goli rahisi.
Maswali amabayo sijayaptia majibu ni haya:-
1 - Alexander Anorld alijiamini vipi mpaka kupiga ile kona kivile huku akiwa hajajiandaa, Jee ile kona ingetoka nje , au ingezuiliwa na wachezaji wa Barca na kuokolewa, ukizingatia sehemu ya kupiga kona na alipokuwa Origi pana umbali na kuna kundi la wachezaji walikuwepo.
2-Hakuogopa kulaumiwa na wenzake endapo ingefeli, maana Shakiri alikuwa anaenda kuipiga kabla hata hajafika yeye akaipiga tena kwa uharaka bila umakini wowote.
3- Je Origi alijuaje kwamba jamaa atarudi na kuipiga ile kona na kumpasia yeye, kiasi akajiposition vizur paka ikamkuta yeye na kufunga, wakati wenzio wote bado hawajajiandaa...je kulikuwa na mawasiliano kati yao..
Maswali ni mengi Ila kweli mpira una ma ajabu yake
Kipindi ile kona inataka kupigwa kwanza kulikuwa na mipira miwili uwanjani, wakati mmoja unatolewa wakati huo huo mchezaji ambae alikuwa kwenye ile position ya kupiga kona (Alexender Anorld)akawa anaondoka ili mchezaji mwingine aje apige(Shakiri), wakaki huo huo Shakiri akiwa anatazama chini akawa anaelekea kupiga ile kona.
Wakati huo si wachezaji wa Liver wala wa Barca waliokuwa tayari wamejiandaa kucheza kona ile maana mpigaji ndio alikuwa anaelekea kwenda kupiga.
Mara ghafla yule mchezaji aliyekuwa anaacha kona aje apige Shakiri Mara akarudi ghafla huku akiwa hajajiandaa akaipiga ile kona Kama vile anatoa pass , ambayo ilimkuta Origi ambae alikuwa katikati kabisa na kufunga goli rahisi.
Maswali amabayo sijayaptia majibu ni haya:-
1 - Alexander Anorld alijiamini vipi mpaka kupiga ile kona kivile huku akiwa hajajiandaa, Jee ile kona ingetoka nje , au ingezuiliwa na wachezaji wa Barca na kuokolewa, ukizingatia sehemu ya kupiga kona na alipokuwa Origi pana umbali na kuna kundi la wachezaji walikuwepo.
2-Hakuogopa kulaumiwa na wenzake endapo ingefeli, maana Shakiri alikuwa anaenda kuipiga kabla hata hajafika yeye akaipiga tena kwa uharaka bila umakini wowote.
3- Je Origi alijuaje kwamba jamaa atarudi na kuipiga ile kona na kumpasia yeye, kiasi akajiposition vizur paka ikamkuta yeye na kufunga, wakati wenzio wote bado hawajajiandaa...je kulikuwa na mawasiliano kati yao..
Maswali ni mengi Ila kweli mpira una ma ajabu yake