STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
Ndugu zangu waTZ na wana CCM wapenda maendeleo naomba mnisaidie kuyajibu maswali haya ya msingi ili taifa letu liweze kusonga mbele na kufika pale tunapopataka.
1. Kuna majigambo ya siku za karibuni, hasa kwa viongozi wengi wa CCM wasioipenda nchi yetu wakidai lengo lao ni kumaliza ufisadi, hivi kwa nini mpaka watanzania wawanyime kura na kuwazomea kila mahali ndio wakubali kwamba kuna mafisadi wanaimaliza nchi hii? Hivi kwa nini wamechukua muda mrefu (4years) kukubali kwamba RA, EL, AC na wengine waliotajwa kwenye list of shame ni wezi wakubwa, wala rushwa wakubwa na mafisadi mapapa? Au kwa sababu waTZ waliitosa kwenye uchaguzi wa mwaka jana na kuhofia kwamba watakola ulaji milele inchi itakapochukuliwa na watu wema?
2. Je tujiulize ni kweli RA, EL, AC wametoswa au walibembelzwa kuachia madaraka ndani ya Chama ili kuwahadaa watanzania? maana nawaona bado wapo wengi ambao ni mafisadi wakubwa lakini hawafanywi jambo lolote na wanaendelea kuitafuna mali ya nchi hii mfano ni waliotachukua pesa za EPA hadi leo wapo na wanajivinjari mitaani na maVX V8 za serikali.
3. Ni kwanini CCM imekuwa ikiwahaa watanzania? kwa mfano katika muswada wa kutunga katiba mpya ni wazi kwamba CCM haina lengo zuru na mchakato wa waTZ kupata katiba mpya mfano ni pale Tambwe Hiza, Kamati ya sheria na UVCCM walipopandikiza mamluki wa kwenda kuwazomea watu wanaotoa michango inayoenda kinyume na mswada. Mbaya zaidi ni pale bungeni waliposikia muswa umeahirishwa wabunge wa CCM walianza kupiga makofi na kuimba CCM,CCM hivi wanafikiri lngo lao lilikuwa kuahirisha ule mswada au upite bila kupingwa? Au bado wanafikiri huo usanii wao hatuuelewi, nadhani wabunge wengi wa CCM wanashindwa kusoma alama za nyakati.
PEOPLES POWER
1. Kuna majigambo ya siku za karibuni, hasa kwa viongozi wengi wa CCM wasioipenda nchi yetu wakidai lengo lao ni kumaliza ufisadi, hivi kwa nini mpaka watanzania wawanyime kura na kuwazomea kila mahali ndio wakubali kwamba kuna mafisadi wanaimaliza nchi hii? Hivi kwa nini wamechukua muda mrefu (4years) kukubali kwamba RA, EL, AC na wengine waliotajwa kwenye list of shame ni wezi wakubwa, wala rushwa wakubwa na mafisadi mapapa? Au kwa sababu waTZ waliitosa kwenye uchaguzi wa mwaka jana na kuhofia kwamba watakola ulaji milele inchi itakapochukuliwa na watu wema?
2. Je tujiulize ni kweli RA, EL, AC wametoswa au walibembelzwa kuachia madaraka ndani ya Chama ili kuwahadaa watanzania? maana nawaona bado wapo wengi ambao ni mafisadi wakubwa lakini hawafanywi jambo lolote na wanaendelea kuitafuna mali ya nchi hii mfano ni waliotachukua pesa za EPA hadi leo wapo na wanajivinjari mitaani na maVX V8 za serikali.
3. Ni kwanini CCM imekuwa ikiwahaa watanzania? kwa mfano katika muswada wa kutunga katiba mpya ni wazi kwamba CCM haina lengo zuru na mchakato wa waTZ kupata katiba mpya mfano ni pale Tambwe Hiza, Kamati ya sheria na UVCCM walipopandikiza mamluki wa kwenda kuwazomea watu wanaotoa michango inayoenda kinyume na mswada. Mbaya zaidi ni pale bungeni waliposikia muswa umeahirishwa wabunge wa CCM walianza kupiga makofi na kuimba CCM,CCM hivi wanafikiri lngo lao lilikuwa kuahirisha ule mswada au upite bila kupingwa? Au bado wanafikiri huo usanii wao hatuuelewi, nadhani wabunge wengi wa CCM wanashindwa kusoma alama za nyakati.
PEOPLES POWER