Ccm ndio ya kustaafu, miaka 60 ya kuwatawala watanzania, hawana hata cha kujivunia,wanachokifanya ni kwa royal families kuendelea kula 🥧 ya taifaTawi la CCM chini ya Mbowe!.
Mbowe anapaswa astafu.
Utofauti wa chadema ya mbowe na CCM ni Nini?.Ccm ndio ya kustaafu, miaka 60 ya kuwatawala watanzania, hawana hata cha kujivunia,wanachokifanya ni kwa royal families kuendelea kula 🥧 ya taifa
Wenye jezi ya chadema ni wawili tu, hao wengine watakuwa wameokotwa stendiKama ulikuwa hujui basi nakujuza Rasmi kwamba , Chadema haisubiri mwaka upauke, tayari wameanza kwa kasi mipango yao.
Wanachonifurahisha ni kwamba, hawana kiherehere na Mgombea urais wa 2025, wanapanga mambo yao na kukabidhiana majukumu, yale mambo ya sijui ichapishwe fomu 1 ya urais ili kumbeba asiye na uwezo, kwenye chama hiki hakuna, zitachapishwa fomu hata 100 ili mradi kila anayedhani anaweza achukue na kuirejesha.
Habari kamili hii hapa
View attachment 2860999View attachment 2861002
Ccm iDuu kwa kuwaangalia tu hapo unaona namna walivyojikatia tamaa na kupoteza matumaini ya kila kitu.hapo wapo kimwili tu lakini kiakili na kimawazo hawapo hapo wala hawapo ndani ya CHADEMA.hapo muda wowote ule wanachomoka zao na kuingia ndani ya CCM Chama ambacho kimebeba matumaini ya mamilioni ya watanzania.
Hakuna chadema ya Mh.Mbowe, CDM ni chama la nchi nzimaUtofauti wa chadema ya mbowe na CCM ni Nini?.
Sasa chadema Inainterest gani na urais labda uenyekiti wa Chama. Gusa hapo uonje sumu kwa kuilamba na msijesahau mbowe aliahidi kung'atuka 2023Kama ulikuwa hujui basi nakujuza Rasmi kwamba , Chadema haisubiri mwaka upauke, tayari wameanza kwa kasi mipango yao.
Wanachonifurahisha ni kwamba, hawana kiherehere na Mgombea urais wa 2025, wanapanga mambo yao na kukabidhiana majukumu, yale mambo ya sijui ichapishwe fomu 1 ya urais ili kumbeba asiye na uwezo, kwenye chama hiki hakuna, zitachapishwa fomu hata 100 ili mradi kila anayedhani anaweza achukue na kuirejesha.
Habari kamili hii hapa
View attachment 2860999View attachment 2861002
Hakuna chama kikicho hai kikaongozwa na mtu mmoja kwa zaidi ya miaka 15... Watu wafuu tu ndio hukubali upuuzi huo.Ccm i
Hakuna chadema ya Mh.Mbowe, CDM ni chama la nchi nzima
Una propaganda za kitoto sana kwaiyo kwaiyo Jimbo la kyela mbunge wake ni chedemuMafanikio yangu makubwa ni kuona ccm inatokomezwa Tanzania , tumeanzia Kyela , tayari ccm tushaitokomeza , Mwakyembe kakimbilia D'Salaam
Labda wabunge wa mioyoni mwenuCha kushangaza ndio jimbo linaloongoza kwa kutoa Wabunge wa Chadema
Wewe no poyoyo.Wanachama tunaojitambua tushajua mbowe ni kibaraka wa CCM, ndio maana ametumwa rushwa ya 150 na Mwenyekiti wake Samia akawahonge watu Hai.
#Mbowe tupishe ndani ya chdema.
Sawa Samwel MwangaKama ulikuwa hujui basi nakujuza Rasmi kwamba , Chadema haisubiri mwaka upauke, tayari wameanza kwa kasi mipango yao.
Wanachonifurahisha ni kwamba, hawana kiherehere na Mgombea urais wa 2025, wanapanga mambo yao na kukabidhiana majukumu, yale mambo ya sijui ichapishwe fomu 1 ya urais ili kumbeba asiye na uwezo, kwenye chama hiki hakuna, zitachapishwa fomu hata 100 ili mradi kila anayedhani anaweza achukue na kuirejesha.
Habari kamili hii hapa
View attachment 2860999View attachment 2861002
Usihangaike na wajingaWewe no poyoyo.
Ni wapi umeona Mtu akipokea fedha kwa ajili ya Jimbo.
Uliangalia kwa macho na kusoma ni wapi hizo pesa zilienda? Hiyo akaunti ni ya Mtu binafsi? Kenge mko wengi
Sidhani kama una ubongoUna propaganda za kitoto sana kwaiyo kwaiyo Jimbo la kyela mbunge wake ni chedemu
hukohuko kujifanya kutokua na kiherehere cha kumuweka wazi mgombea urais mapema kumewatokea puani wapinzani DRC.....Kama ulikuwa hujui basi nakujuza Rasmi kwamba , Chadema haisubiri mwaka upauke, tayari wameanza kwa kasi mipango yao.
Wanachonifurahisha ni kwamba, hawana kiherehere na Mgombea urais wa 2025, wanapanga mambo yao na kukabidhiana majukumu, yale mambo ya sijui ichapishwe fomu 1 ya urais ili kumbeba asiye na uwezo, kwenye chama hiki hakuna, zitachapishwa fomu hata 100 ili mradi kila anayedhani anaweza achukue na kuirejesha.
Habari kamili hii hapa
View attachment 2860999View attachment 2861002
Usilie sasaWe kweli ni poyoyo jingalao. CCM Maswa ndio CCM gani. CCM waachie mambo yao we hangaika na umaskini wako.
Wewe utakuwa na kinyesi kichwaniSidhani kama una ubongo
Wewe no poyoyo.
Ni wapi umeona Mtu akipokea fedha kwa ajili ya Jimbo.
Uliangalia kwa macho na kusoma ni wapi hizo pesa zilienda? Hiyo akaunti ni ya Mtu binafsi? Kenge mko wengi
Naona mke mdogo wa mbowe unatetea mmeo! Hukuwepo kanisani alipokuwa anazitangaza huyo mmeo?.Wewe no poyoyo.
Ni wapi umeona Mtu akipokea fedha kwa ajili ya Jimbo.
Uliangalia kwa macho na kusoma ni wapi hizo pesa zilienda? Hiyo akaunti ni ya Mtu binafsi? Kenge mko wengi
Na bado ! mtatukana matusi yote, Mamluki nyie !Wewe utakuwa na kinyesi kichwani
Na wewe ni mamluki wa mbowe achana na maisha ya uchawa mtoto wa kiumeNa bado ! mtatukana matusi yote, Mamluki nyie !
Kwi Kwi Kwi , bado utaropoka tuNa wewe ni mamluki wa mbowe achana na maisha ya uchawa mtoto wa kiume