Habari gani?
Mimi ni Irene, natoka Italy, Naples na nasoma kiswahili katika chuo kikuu.
Lazima nisome kwa tasnifu na ningependa kuandika kuhusu maswala ya uchaguzi ujao na kufuata kampeni zima hadi uchaguzi wa Oktoba.
Natafuta magazeti muhimu yenye fikra ya kisiasa tofauti, lakini ningependa kujua pia vijana wote wanavyowaza kuhusu maswala na wagombea..
mnataka kunisaida??
mnaweza kusema mnapendavyo na kuzungumza kuhusu suala muhimu kuliko kwenu... na mkitaka kunipa mashauri mengine kwa somo langu.
asante sana,
na samahani kwa kiswahili changu!:redface:
Mabusu,
Irene
Habari gani?
Mimi ni Irene, natoka Italy, Naples na nasoma kiswahili katika chuo kikuu.
Lazima nisome kwa tasnifu na ningependa kuandika kuhusu maswala ya uchaguzi ujao na kufuata kampeni zima hadi uchaguzi wa Oktoba.
Natafuta magazeti muhimu yenye fikra ya kisiasa tofauti, lakini ningependa kujua pia vijana wote wanavyowaza kuhusu maswala na wagombea..
mnataka kunisaida??
mnaweza kusema mnapendavyo na kuzungumza kuhusu suala muhimu kuliko kwenu... na mkitaka kunipa mashauri mengine kwa somo langu.
asante sana,
na samahani kwa kiswahili changu!:redface:
Mabusu,
Irene
hakuna mtu anaitwa Irene katika chuo hicho ,uyu ni kibaka mwengine tu anabangaiza ?
Wewe una-authority gani ya kutuambia kuwa huyu binti hasomi katika chuo hicho, kwani wewe unasoma huko Italia? Mimi nimegoogle na nimepata jina lake kwenye orodha ya wanafunzi wanaosomea kiswahili huko!! Achana na ushambenga huo.