Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 133
1.Hakuna mkakati wa dharura wa kuondoa tatizo siku za karibuni
2.Serikali haijatambua Athari kubwa zinazosababishwa na Mgao
3.Miez SITA ya mgao yaweza kuharibu uchumi wa miaka KUMI
4.Miradi mikubwa ya gesi haina uhakika wa kutekelezeka
5.Maelfu ya wananchi watajikuta wakipoteza ajira Viwandan
6.Biashara ndogondogo na zile za kati nazo kuathirika zaidi
7.Mapato ya Serikali kupitia mamlaka zake yaanza kupungua
8.Viongozi wa juu wanaogopa kulisimamia kuogopa Kashfa
the end.
2.Serikali haijatambua Athari kubwa zinazosababishwa na Mgao
3.Miez SITA ya mgao yaweza kuharibu uchumi wa miaka KUMI
4.Miradi mikubwa ya gesi haina uhakika wa kutekelezeka
5.Maelfu ya wananchi watajikuta wakipoteza ajira Viwandan
6.Biashara ndogondogo na zile za kati nazo kuathirika zaidi
7.Mapato ya Serikali kupitia mamlaka zake yaanza kupungua
8.Viongozi wa juu wanaogopa kulisimamia kuogopa Kashfa
the end.