Masters of Education Administration, Planning and Policy studies. (MED Apps)

Masters of Education Administration, Planning and Policy studies. (MED Apps)

Ronee

Senior Member
Joined
Jun 1, 2018
Posts
155
Reaction score
155
Kozi hii inatolewa chuo kikuu huria cha Tanzania (OUT)
Sasa basi, kama wewe ni mdau wa kozi hii na unapata changamto katika usomaji wako, nitafute nikupe mwongozo mzuri. Hii ni kwa wale walioko Dodoma tu.
Karibu PM.
 
mkuu hebu tupe undani wa hii course , nategemea kujiunga siyo mda mrefu.
 
Kama wewe sio mwajiriwa wa serikali, basi usiwaze kabisa kuisomea hii kozi, maana utaishia kuweka vyeti vyako kabatini.
 
Kozi hii inatolewa chuo kikuu huria cha Tanzania (OUT)
Sasa basi, kama wewe ni mdau wa kozi hii na unapata changamto katika usomaji wako, nitafute nikupe mwongozo mzuri. Hii ni kwa wale walioko Dodoma tu.
Karibu PM.
Aisee OUT sikuiz wako vzr eehh..? Ule mtazamo kuwa open baina kiwango sikuiz labda unapungua..mi niko open now masters na msuli ni wa hatar
 
Back
Top Bottom