Masters of Business Administration UDSM

Masters of Business Administration UDSM

Nigga What

Senior Member
Joined
May 1, 2021
Posts
164
Reaction score
448
Naomba ushauri,

Nataka kusoma MBA chuo kikuu cha Dar-es-Salaam sina background ya business nimesoma degree ya maswala mengine lakini nimeajiriwa kwenye position za Business kwa miaka mitatu na nimejikuta passionate sana na business ikanifanya niwe curious kidogo na kupelekea kuwaza kusoma hii kitu.

Naomba msaada wako kujua yafuatayo:

1. Je, inawezekana mimi ku switch kutoka degree ya mfano ya sociology kwenda MBA?
2. Kwa ratiba zilivyonibana naweza kusoma jioni pale udsm? evening class
3.Nahitaji level gani ya GPA kupata admiss.

Naomba msaada wako tafadhali

samahani kwa spelling zilizokosewa
 
Iwapo utakuwa na postgraduate au CPA (T) halafu undergraduates kama umemaliza chuo kinachoeleweka na ukapata at least GPA 3.5 na kuendelea nazani unaweza kuwa kwenye nafasi nzuri ya kupata admission.

MBA evening ipo kwa miaka mingi.
 
Nimesoma MBA na darasa letu tulikuwa na watu wenye degree za kwanza manunuzi, wanasheria, marketing, journalism nk.

Kuna baadhi ya masomo yenye hesabu nyingi kidogo niliona walivyolazimika kuongeza nguvu ya ziada ila walitoboa.

Ni wewe tu na kichwa chako.
 
Nimesoma MBA na darasa letu tulikuwa na watu wenye degree za kwanza manunuzi, wanasheria, marketing, journalism nk.
Kuna baadhi ya masomo yenye hesabu nyingi kidogo niliona walivyolazimika kuongeza nguvu ya ziada ila walitoboa.
Ni wewe tu na kichwa chako.

Nimekusoma kiongozi ulisoma chuo gani kama hutojali na fees structure ipoje? nataka kusoma MBA-Marketing au Logisticts and supply sio accounting wala finance
 
Mi nilikuwa UDSM.
USHAURI.
MBA nyingi sasa zina specialization toka mwanzo na nyingine mwaka wa 1 ni general na wa 2 unaspecialize.
Pia angalia masomo utakayosoma au course contents itakupa mwongozo chuo cha kwenda.
Ziko mpaka MBA za mwaka 1 na MBA za Executive programme.

FEES structure inabadilika kulinganga na chuo, aina ( full time, executive au evening programme)

Pitia mitandao yao ndo utapata picha.
 
Nimekusoma kiongozi ulisoma chuo gani kama hutojali na fees structure ipoje? nataka kusoma MBA-Marketing au Logisticts and supply sio accounting wala finance

hiyo MBA in logistics and transport inatolewa na NIT collable OUT
kwa ww ambae upo kazini itakufaa sana hii
 
Mi nilikuwa UDSM.
USHAURI.
MBA nyingi sasa zina specialization toka mwanzo na nyingine mwaka wa 1 ni general na wa 2 unaspecialize.
Pia angalia masomo utakayosoma au course contents itakupa mwongozo chuo cha kwenda.
Ziko mpaka MBA za mwaka 1 na MBA za Executive programme.

FEES structure inabadilika kulinganga na chuo, aina ( full time, executive au evening programme)

Pitia mitandao yao ndo utapata picha.

Broo unafanyia kazi hiyo MBA yako??
 
Broo unafanyia kazi hiyo MBA yako??
Vibaya saaana.
Ukitaka raha ya MBA usisome bila malengo.
Chukua specialization ya MBA kwenye eneo la mapungufu yako.
Mfano kama umesoma sheria ina maana mamagement skills zako inabidi ziboreshwe kama unataka kuwa kiongozi mzuri. Kama ni mtu wa fedha, dozi yako ya uongozi inabidi iimarishwe. Kama uko kwenye masoko boresha hapo nk
 
Vibaya saaana.
Ukitaka raha ya MBA usisome bila malengo.
Chukua specialization ya MBA kwenye eneo la mapungufu yako.
Mfano kama umesoma sheria ina maana mamagement skills zako inabidi ziboreshwe kama unataka kuwa kiongozi mzuri. Kama ni mtu wa fedha, dozi yako ya uongozi inabidi iimarishwe. Kama uko kwenye masoko boresha hapo nk

Hongera sana mkuu. maana vijana siku hizi wanasoma Masters kama undergraduate tuu ili maradi masters ma sio kubobea kile kitu wanachofanyia kazi
 
Mi nilikuwa UDSM.
USHAURI.
MBA nyingi sasa zina specialization toka mwanzo na nyingine mwaka wa 1 ni general na wa 2 unaspecialize.
Pia angalia masomo utakayosoma au course contents itakupa mwongozo chuo cha kwenda.
Ziko mpaka MBA za mwaka 1 na MBA za Executive programme.

FEES structure inabadilika kulinganga na chuo, aina ( full time, executive au evening programme)

Pitia mitandao yao ndo utapata picha.
MBA ya mwaka mmoja chuo gani mkuu?
 
Nimesoma MBA na darasa letu tulikuwa na watu wenye degree za kwanza manunuzi, wanasheria, marketing, journalism nk.

Kuna baadhi ya masomo yenye hesabu nyingi kidogo niliona walivyolazimika kuongeza nguvu ya ziada ila walitoboa.

Ni wewe tu na kichwa chako.
mkuu kwema? kuna uhitaji wa experience kwenye kuapply?
 
Vibaya saaana.
Ukitaka raha ya MBA usisome bila malengo.
Chukua specialization ya MBA kwenye eneo la mapungufu yako.
Mfano kama umesoma sheria ina maana mamagement skills zako inabidi ziboreshwe kama unataka kuwa kiongozi mzuri. Kama ni mtu wa fedha, dozi yako ya uongozi inabidi iimarishwe. Kama uko kwenye masoko boresha hapo nk
Vipi na kwa mtu ambae bado hajaanza kazi na anataka kusomea hiyo course una mshaurij
 
Back
Top Bottom