Cover letter kesho nitaweka sample nyingiiiiii ila msikopi na kupaste jamani naweka ili muone namna mnavyoweza kuandika.....afu uandike ya kwako.........Mimi nataka nijaribu za pHD kwenye upande wa elimu mkuu. Naomba mchakato wake wa kwanza kabisa na kuendelea. Na ninaomba sample za cover letter nzuri,na mambo mengine muhimu kabisa.