Masters Degree

Nilikataa walamba nyau Elimu zao chini ya shahada ona sasa akili zao. Empty headed waha wanasema Ubwenke kopo
 
Yeah ni mtumishi wa umma, Kwa sisi tulio taasisi za elimu ya juu master's degree au PhD ina-matter sana, mchawi ruhusa tu hapa...
Nilipata scholarship na ruhusa ya kusoma PhD.
Niliianza chuo, kumaliza mwaka mmoja nikaona napoteza muda.
Maana hela za madili na biashara inakuwa.

Nikajisemea, ngoja nikafute hela mimi NIKA DROP OUT PhD.

Na sitaki tenaa kusomaaa.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Kaza tako uachane na chaki mna maisha magumu sana walimu

Kwahiyo funzo kwa jamaa ni lipi mbona unaleta masifa kama muhaya na ww
 
DAh yaan unashindwa fanya mambo yako kisa hela za madili me nikajua ma biashara yako yatayumba kisa madili tu ya kuiba serikalini
 
Manjonjo mengi na master yenyewe ya education, mtu mwenye CPA ni valuable compared to master holder ya education
 
Manjonjo mengi na master yenyewe ya education, mtu mwenye CPA ni valuable compared to master holder ya education
Kimfaacho mtu chake wewe mlamba nyau. Yaani walamba nyau bhana ww huna hata hiyo diploma utanishauri nn zaid
 
Mtu mwenye certificate wa tra anakuzidi mbali na master yako ya education
Punguza makasiriko mlamba nyau hapa nawataka Masters holder nakuendelea. Ww na la Saba B yko utanishauri nini yaan
 
Punguza makasiriko mlamba nyau hapa nawataka Masters holder nakuendelea. Ww na la Saba B yko utanishauri nini yaan
-Mimi ni Land saveya, consultant, nimesoma Geomatics-Ardhi university, nimesajiliwa kama professional Land saveya,
  • nimeajiajiri sio kama wewe unategemea makombo ya ccm ndio ule,
  • La 7 wenzio wana pesa, hawali makombo ya ccm
 
Walio drop out ni Bill Gate, Mark Zugeberck etc na ambao sasa ni mabilionaire wakati wewe uliangukia kwenye mawe
 
MAeD hiyo. Kila lakheri Bro sometimes kusoma ni kupumzika na hizi karaha za kazi.
Kusoma sio kupumzika wengine tulikua tunafanya kazii jioni saa 11 ndio tunawai chuo kusoma masters programs.

Siku nime gradu🎓 wapo ambao Hawa kuamini kikubwa ni ambition

Maana AMBITION IS A DREAM WITH A V8 ENGINE.
 
-Mimi ni Land saveya, consultant, nimesoma Geomatics-Ardhi university, nimesajiliwa kama professional Land saveya,
  • nimeajiajiri sio kama wewe unategemea makombo ya ccm ndio ule,
  • La 7 wenzio wana pesa, hawali makombo ya ccm
Nilitahadharisha mapema walamba nyau na wenye makasiriko pita kushoto ww unaleta shobo zako, anyway nimekupuuza bro umeandika ugoro kwenye uzi usiokuhusu kbs
 
Nilitahadharisha mapema walamba nyau na wenye makasiriko pita kushoto ww unaleta shobo zako, anyway nimekupuuza bro umeandika ugoro kwenye uzi usiokuhusu kbs
  • unadhani kila mtu ana IQ ndogo kama wewe,
  • hadi Leo unasoma education,badala ya kusomea degree za maana
 
U
Kusoma sio kupumzika wengine tulikua tunafanya kazii jioni saa 11 ndio tunawai chuo kusoma masters programs.

Siku nime gradu🎓 wapo ambao Hawa kuamini kikubwa ni ambition

Maana AMBITION IS A DREAM WITH A V8 ENGINE.
Umeandika vizuri mzee mwenzangu ila umejisifia tu point ya kubeba hapa walau "AMBITION IS A DREAM"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…