Masterbration inanitesa sana

Khames98

Member
Joined
May 24, 2019
Posts
10
Reaction score
6
Naombeni msaada jamani mimi nina miaka 22 Sijawahi kufanya zinaa ila nimekuwa ni muumini mkubwa mno wa hii kitu mwaka wa pili sasa nashindwa jinsi ya kuacha.
 
Mwaka wa pili tu unalalamika umu kuna watu walitoa ushuhuda wanaungurumisha bila ata mafuta kavu kavu na wako fresh tuu mi huu mwaka wa 6 naugurumisha safi tu na shoo nakimbiza mpaka timu pinzan inaomba Pooo yale ni mazoezi ya dushe achaga Kusikiliza polojo za kukiponda chama chetu pendwa
 
Haaa ha ha.. Watu wanyetukeee
 
Naona unafanya kampeni
 
Naombeni msaada jamani mimi ninamiaka 22 Sijawahi kufanya zinaa ila nimekua nimuumini mkubwa mno wa hii kitu mwaka wapili sasa nashindwa jinsi ya kuacha.
Unaishi na nan? Chumban unapo kaa unakaa na nan?
 
Tafuta demu acha uzembe... hyo nyeto ndio iliyokufanya mpaka umri huo hujui ladha ya puchi...
Wengi tushapitia hayo maisha kuna ugumu kuacha lkn hyo isikuzuie kuomba puchi...
Tongoza demu omba game jiandae kisaikolojia jipe at least wiki nzima ya maandaliz piga zoezi mostly squats usibebe mzigo just fanya mazoezi na mwili wako huo huo unakutosha kwa kuanzia...
Ndan ya hyo wk usiangalie porno kabisa kua karibu kimawasiliano na demu uliemuandaa kumtindua na kula vyakula vinavyoongeza stimu ya kungonoka then siku ya game kama umnywaji weka alcohol kidogo kichwan ikuchangamshe kidogo ikuondolee tension na ikurefushie kidogo muda wa kumtafuna
 
Ohooo iii kitu ukishajisajili 2 kuwa mwanachama wa chaputa kutoka huwa ni ngumu sana wahanga kumbe tupo wengi daaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…