Mastar wa bongo na usanii wa siasa

Mastar wa bongo na usanii wa siasa

Joined
Feb 19, 2013
Posts
84
Reaction score
44
Orodha inaendelea kila siku ya watangaza nia kutoka bongo movie/flava,najiuliza ni fashion,kuishiwa au ndio kutafuta kick?

Kweli wana haki kama walivyo watanzania wengine lakini siamini siasa imekuwa rahisi kiasi hiki.

Hivi kuwa maarufu tu inatosha kutatua matatizo ya Tanzania ya leo na ya kesho?
 
Orodha inaendelea kila siku ya watangaza nia kutoka bongo movie/flava,najiuliza ni fashion,kuishiwa au ndio kutafuta kick.....? kweli wana haki kama walivyo watanzania wengine lakini siamini siasa imekuwa rahisi kiasi hiki,hivi kuwa maarufu tu inatosha kutatua matatizo ya Tanzania ya leo na ya kesho...........?

Nani amekwambia wanataka kutatua matatizo ya watanzania???hivi wema sepetu anaweza kutatua matatizo yako???..wanataka kujaza vikuchu vyao...sio kukutatulia shida..
 
eti yule anayeigiza sauti ya nyerere naye awe mbunge daah! kweli watanzania tutakuwa tumeishiwa bora waweke basi angalau mtu awe na shahada ya chuo kikuu angalau maana bora mtu anaweza kujenga hoja (ingawa si wote)
 
Nani amekwambia wanataka kutatua matatizo ya watanzania???hivi wema sepetu anaweza kutatua matatizo yako???..wanataka kujaza vikuchu vyao...sio kukutatulia shida..

Roho mbaya na kufuata mkumbo ndio tatixo lako.. hao unaowaona wanafaa wamekutatulia matatizo yapi?
 
Roho mbaya na kufuata mkumbo ndio tatixo lako.. hao unaowaona wanafaa wamekutatulia matatizo yapi?

Hao ninaowaona wanafaa kushindwa kutatua matatizo ya watanzania hawahalalishi wasanii wachafu wachafu kuingia kwenye bunge letu tukufu!!
 
Orodha inaendelea kila siku ya watangaza nia kutoka bongo movie/flava,najiuliza ni fashion,kuishiwa au ndio kutafuta kick?

Kweli wana haki kama walivyo watanzania wengine lakini siamini siasa imekuwa rahisi kiasi hiki.

Hivi kuwa maarufu tu inatosha kutatua matatizo ya Tanzania ya leo na ya kesho?


Ni kwamba wamechoka kutombana location na watu wale wale kila kukicha, sasa wanataka kubadilishana wabunge mjengoni. Kama kweli wananchi ama rais ajaye achague vichangu vya bongo muvi kwa ticketi maalum bungeni kwa kweli atakuwa hajaitendea haki Tanzania na kuendelea kwetu itakuwa ni ndoto tu. Wasanii wa bongo muvi/fleva wako useless na hawana mchango wowote hapa nchini zaidi ya kuwa vituko kwa jamii.
 
Ndio mjue bongo movie haina dili, maisha magumu...huwezi niambia mtu ambaye knows almost nothing about politics anaweza kuwa Mbunge...hawa ndio wale watafuata upepo popote tuuu, they will be taken advantage of, can they play dirty?? hapana, bado sijachagua mtu toka bongo movie kuwa mbunge, words only do not make changes.

on another note..tuseme wema awe mbunge, watu am sure mshaiona picha ya yeye na aunt ezekiel kissing,its all over the internet..i swear that will be the first pic taken by the Westerners kushadadia na kufurahia ushoga/usagaji na kusema we approve ila tutapata shavuuu la hela kupitia yeye lol..atawekwa hadi TMZ
 
Back
Top Bottom