Mastaa wa bongo waipongeza rasimu ya katiba mpya

Mastaa wa bongo waipongeza rasimu ya katiba mpya

wasanii wamesema katiba ya sasa imeleta mapinduzi makubwa katika tasnia ya filamu hapa nchini kwa kuweka vipengele ambavyo vimewathamini.

“Kwetu ni jambo kubwa kuona serikali yetu imeanza kutambua mchango wetu kwa kuweka vipengele katika Rasimu Mpya ya Katiba hii inaonyesha ni jinsi gani tutaweza kupata mafanikio pia itatuwezesha kupambana na wezi wa kazi zetu na kutuongezea kipato,” alisema Flora Mvungi, mmoja wa wasanii hao.
[/QUOTE]


Shida yao ni kutaka wawe kwenye msafara wa kampeni ya CCM, na wanavyolegeza suruali! Ngoja tuone maana sina jina la msanii anayeweza kuitwa ana uelewa.
 
Mtu utasemaje katiba ni nzuri kabla hujaisomaaa...

Ni Uzuzu
 
Ikiwa tu hata hao wajumbe waliopiga kura kuipitisha wengi wao hata hawajui Maudhui yake. Itakuwa hao wasanii!!! Kinachofanyika sasa hakuna tofauti na enzi hizo Mababu zetu kubadilishana na Wazungu Gololi kwa Dhahabu/Almas. Japo kwasasa ni sisi wenyewe Bila mzungu

Mangungo wa Msovero wapo wengi nchi hii ndio maana uchaguzi unapofika watu hupokea t-shirt, kanga, kofia na kula wali na kutoa haki yao ya miaka 5 maskini nchi yangu danganyika
 
Wasanii..wasanii gani Tz wenye utashi wakung"amua jema na baya?yu wapi?wasanii wapenda starehe,yaani wataalam wakuamkia club!!ambapo mawazo yao yametawaliwa na ngono tu kila dk nakupelekea filamu zote ni mapenzi na za mizuka..wasiopenda kuumiza akili..wepesi wa kucopy na kupaste?sii bongo fleva wala bongo movie wote ni zero...msanii unatoa miguu yako hapa unenda marekani kutangaza utalii huna kitendea kazi hata kimoja zaidi ya papuchi tu eti utalii...leo hii aijue katiba yenye kuwafaa watanzania..WANACHEKESHA.
 
Haya mapunguani Managua nn zaidi ya kuwa kafara ya Ccm na zaidi ya kuwa na low capacity in rational and critical thinking shenzi sana ndo mana kila kukicha yanadai yanaibiwa kwa sababu hayajui hata copyright law inayowalinda dhidi piracy!!!
 
Haya mapunguani Managua nn zaidi ya kuwa kafara ya Ccm na zaidi ya kuwa na low capacity in rational and critical thinking shenzi sana ndo mana kila kukicha yanadai yanaibiwa kwa sababu hayajui hata copyright law inayowalinda dhidi piracy!!!

Acha chuki ulitaka waipende ukawa ndo uwaone wanaakili?
 
Back
Top Bottom