Mastaa wa bongo waipongeza rasimu ya katiba mpya

Mastaa wa bongo waipongeza rasimu ya katiba mpya

Star King Majuto tu.. hao wengine wasanii kwa maana ya wabangaizaji.

wasanii2.jpg View attachment 192416 View attachment 192417 tot.jpg
 
Duh kuna ambao wanatani sawa kuwa ukawa ila wanashindwa!
Ila uzuri hao kuna watakao piga kura ya hapana
 
Hilo kundi linalojiiti ati 'Wasanii wa Bongo' ni genge la waganga njaa. Wamekuwa wakitumiwa kama tambara la deki bila kupima au kuhoji mambo au kampeni wanayoishabikia. Kwanza hawana cha zaidi ya skendo na ngono.

Msanii anatakiwa awe na uwezo wa kuchambua na kuwa na hekima ya kutambua pale anaposhirikishwa jambo lolote zaidi ya lile la kushikishwa 'bahasha ya kaki"
Wengi wao ni vihiyo wasio na uwezo wa kutambua wala kujitambua wenyewe na nafasi yao katika jamii. Ni watu wanaotumiwa kwenye majukwaa bila kujitambua sasa leo watatambua kilichomo kwenye KATIBA?

Nawapa Changamoto kwa hao wanaojiita wasanii kuwa wajitambue wao wenyewe kwanza kabla kudandia hili KATIBA.



 
mastaa.jpg


wasanii wamesema katiba ya sasa imeleta mapinduzi makubwa katika tasnia ya filamu hapa nchini kwa kuweka vipengele ambavyo vimewathamini.

“Kwetu ni jambo kubwa kuona serikali yetu imeanza kutambua mchango wetu kwa kuweka vipengele katika Rasimu Mpya ya Katiba hii inaonyesha ni jinsi gani tutaweza kupata mafanikio pia itatuwezesha kupambana na wezi wa kazi zetu na kutuongezea kipato,” alisema Flora Mvungi, mmoja wa wasanii hao.

Wasanii ni kina Jide,Prof Jay,mwanFA,A.sele nk.Watu wenye shule bhana weye kupambanua mambo.Ila FA???siku hiz nae haelewek.
 
Wasanii wa bongo wengi wao ni mambulula ..ni sawa na mtoto wako ambaye katoka kwenye mtihani anakwambia baba mtihani waleo ulikuwa ni mrahisi na nitapata yote..sasa unamuuliza hebu niambie mswali uliyoulizwa kwenye mtihani ..anabaki kimya akimaanisha hajui ..hata namba ya swali lenyewe hakumbuki ...ni sawa na hawa bongo movie na flava... Hata ukimuuliza kipengele cha hicho wanachokisifia hawakijui ... Ni sura ya ngapi na ibala ya ngapi....?? Yaani ni shidaaah kwa kweli, hasa haka kanachotumia jina la baba wa taifa. Yaani siku nikikutana nacho hata njiani natamani hata nikagonge na gari.
 
Waambieni wasome ibara ya 20 kifungu kidogo cha 2 kwenye hiyo sura waliosema imekidhi matakwa yao…!! Kwa ninavyoijua ccm watatumia wasanii kuipigia chapuo katiba yao…!!!!

" (2) Masharti ya Sura hii hayatatiliwa nguvu ya kisheria na Mahakamayoyote. Mahakama yoyote nchini haitakuwa na uwezo wa kuamua juu ya
suala kama kutenda au kukosa kutenda jambo kwa mtu au mahakama yoyote
au kama sheria au hukumu yoyote inaambatana na masharti ya Sura hii. "
 
Hilo kundi linalojiiti ati 'Wasanii wa Bongo' ni genge la waganga njaa. Wamekuwa wakitumiwa kama tambara la deki bila kupima au kuhoji mambo au kampeni wanayoishabikia. Kwanza hawana cha zaidi ya skendo na ngono.

Msanii anatakiwa awe na uwezo wa kuchambua na kuwa na hekima ya kutambua pale anaposhirikishwa jambo lolote zaidi ya lile la kushikishwa 'bahasha ya kaki"
Wengi wao ni vihiyo wasio na uwezo wa kutambua wala kujitambua wenyewe na nafasi yao katika jamii. Ni watu wanaotumiwa kwenye majukwaa bila kujitambua sasa leo watatambua kilichomo kwenye KATIBA?

Nawapa Changamoto kwa hao wanaojiita wasanii kuwa wajitambue wao wenyewe kwanza kabla kudandia hili KATIBA.




Nape mwandosya anawapigia hela.
 
Nimewadharau wasanii Wote wanaoishabikia katiba hii hasa Yule jamaa mwenye mwili kama kibanda cha mkaa alafu akili ya sisimizi.....sidhani kama hata wengi wanajua hata maana ya katiba achilia mbali rasimu ya katiba mpya.....
Wahenga walipo nena kuwa elimu ni ufunguo wa maisha hawakuwa wamelewa viroba kama hawa wanaojiita wasanii walikuwa na maana ya elimu ikutoe shimoni mwa ujingani na ikulete mwangani....ikuwezeshe kuyapima na kuyapambanua mambo kwa kina....
Unadhani watu kama uwoya,ant Ezekiel na wema watakuambia nini kuhusu katiba ikiwa wao wenyewe fikra zao zimekufa ingali wapo hai...???
poor them all.....
 
Wafu wanakokotana....Watakalia kulamba ma.ka.li.o ya CCM wakati CCM ikiendelea kunyonya mbu.nye zao. Wanamsifia basha wao CCM ili wapate fursa ya kwenda kutangaza utalii Marekani. Yaani kazi kweli kweli.....Shame on you MASANII...

Hawa wasanii bongo muv ni mafala asee hawajitambui hawajifunz kwa wenzao bongo flava wote waliotumika nyakati za kampeni za ccm wako wap saa hiz?....wote choka mbaya ccm imewatekeleza na raia wamewapotezea... wamuulize maro the talented one alilewa sifa mpk akakubali kutumika na ukawa mwisho wake alitumia hit song " muv out the wy" kuuponda upinzani
 
Hilo kundi linalojiiti ati 'Wasanii wa Bongo' ni genge la waganga njaa. Wamekuwa wakitumiwa kama tambara la deki bila kupima au kuhoji mambo au kampeni wanayoishabikia. Kwanza hawana cha zaidi ya skendo na ngono.Msanii anatakiwa awe na uwezo wa kuchambua na kuwa na hekima ya kutambua pale anaposhirikishwa jambo lolote zaidi ya lile la kushikishwa 'bahasha ya kaki"
Wengi wao ni vihiyo wasio na uwezo wa kutambua wala kujitambua wenyewe na nafasi yao katika jamii. Ni watu wanaotumiwa kwenye majukwaa bila kujitambua sasa leo watatambua kilichomo kwenye KATIBA? Nawapa Changamoto kwa hao wanaojiita wasanii kuwa wajitambue wao wenyewe kwanza kabla kudandia hili KATIBA.

Nape mwandosya anawapigia hela.

Hivyo visenti vyenyewe si ndio vinavyozidi kuwaongezea 'uzezeta' hivyo. Walikodishiwa basi kwenda Dodoma eti kwenda kutoa mchango wao mawazo kwenye Katiba pendekezwa. Wamefika pale kikubwa ni ilikuwa kushikishwa bahasha za kaki na kisha kupiga picha na Sitta nje ya mjengo wenyewe wanaona wameshakuwa wa matawi ya juu. Na Sitta anawahadaa (ki usanii) kwa kuwa anawajua ni mazezeta ati kuwa majina yao yataingia kwenye historia🙂 teh teh 'Gimme me a break" teh

Na leo wanaibuka mitaani eti Katiba inakidhi, Na ukiuliza kivipi utasikia hayo majibu ya ubabaishaji🙂. Nina hakika hakuna mwenye uwezo wa kusoma wala uelewa wa kuchambua hiyo rasimu zaidi ya kushadidia kitu wasichokifahamu athari zake.Wameshindwa kujitambua na kutambua maslahi yao na yale ya taifa na vizazi vyao vijavyo katika picha kubwa.

Bianfsi, Naona Tanzania inahitaji ukombozi wa kielimu kwanza ili tuweze kwenda pamoja kama taifa vinginevyo safari ya ukombozi ni ngumu mno kwa taifa lenye mamilioni ya watu ambao bado wanaogelea kwenye bahari ya ungumbaru.
 
Wafu wanakokotana....Watakalia kulamba ma.ka.li.o ya CCM wakati CCM ikiendelea kunyonya mbu.nye zao. Wanamsifia basha wao CCM ili wapate fursa ya kwenda kutangaza utalii Marekani. Yaani kazi kweli kweli.....Shame on you MASANII...

Hawa wasanii bongo muv ni mafala asee hawajitambui hawajifunz kwa wenzao bongo flava wote waliotumika nyakati za kampeni za ccm wako wap saa hiz?....wote choka mbaya ccm imewatekeleza na raia wamewapotezea... wamuulize maro the talented one alilewa sifa mpk akakubali kutumika na ukawa mwisho wake alitumia hit song " muv out the wy" kutupa vijembe kwa upinzani.. Wasakatonge wa bongo muv kwisha habari!
 
mastaa.jpg


wasanii wamesema katiba ya sasa imeleta mapinduzi makubwa katika tasnia ya filamu hapa nchini kwa kuweka vipengele ambavyo vimewathamini.

“Kwetu ni jambo kubwa kuona serikali yetu imeanza kutambua mchango wetu kwa kuweka vipengele katika Rasimu Mpya ya Katiba hii inaonyesha ni jinsi gani tutaweza kupata mafanikio pia itatuwezesha kupambana na wezi wa kazi zetu na kutuongezea kipato,” alisema Flora Mvungi, mmoja wa wasanii hao.

hawa mastaa wa bongo wamedanganyika walichokuwa wanatakiwa ni kuangalia katiba inasema nini kwa wale waliopewa uongozi wa kusimamia hayo wanayofikiri ni faida kwao
 
Serikali ya CCM walishindwa nini kutunga sheria na kanuni ili kuwajali wasanii?

Wabunge wa CCM ndo wengi bungeni, je Wizara ilishindwa kutunga sheria? Wasanii acheni kutumika kienyeji

Kama CHADEMA isingedai Katiba mpya, hao wasanii wangengoja mpani lini?

Wasanii hawana elimu, wengi wao wameishia form four

wasanii hawajaisoma katiba, kwa nini wanasema ni nzuri kabla ya kuisoma
 
Hawajitambui hao wala hawajui wanataka nini, katiba haiwezi kuleta mafanikio kwao hata wangepewa waitunge wao, wanaacha kutengeneza filamu za maana zenye maudhui ya maana watu wanunue kazi zao halali wamebaki kutembea nusu uchi na kufanya ufuska. Filamu imekuwa sehemu ya kujionesha kwa wanaume na kwenda na mawaziri kutangaza utalii. Wangekuwa wanajielewa wangetengeneza kazi zinazouzika hata za kutangaza huo utalii bila wao kwenda kupitia umalaya. Wenyewe wanagombana kila siku hayo mafanikio watayapataje? imefika mahali mtu akiitwa msanii nchi hii anaona katukanwa kwa sababu ya hawa majamaa wa bongo MAVI.
 
Hawajitambui hao wala hawajui wanataka nini, katiba haiwezi kuleta mafanikio kwao hata wangepewa waitunge wao, wanaacha kutengeneza filamu za maana zenye maudhui ya maana watu wanunue kazi zao halali wamebaki kutembea nusu uchi na kufanya ufuska. Filamu imekuwa sehemu ya kujionesha kwa wanaume na kwenda na mawaziri kutangaza utalii. Wangekuwa wanajielewa wangetengeneza kazi zinazouzika hata za kutangaza huo utalii bila wao kwenda kupitia umalaya. Wenyewe wanagombana kila siku hayo mafanikio watayapataje? imefika mahali mtu akiitwa msanii nchi hii anaona katukanwa kwa sababu ya hawa majamaa wa bongo MAVI.
bongo mavi....hiyo nimeipenda
 
hivi kuna msanii wa bongo iwe muvi au music ambae ana uwezo wa kupima uzuri au ubaya wa katiba? i mean kusoma na kuielewa katiba.

Hakuna msanii mwenye uwezo wa kuielewa katiba...!!akili zao haziwezi kufikia uelewa huo!!!waache wafu wazikane!!
 
Serikali ya CCM walishindwa nini kutunga sheria na kanuni ili kuwajali wasanii?

Wabunge wa CCM ndo wengi bungeni, je Wizara ilishindwa kutunga sheria? Wasanii acheni kutumika kienyeji

Kama CHADEMA isingedai Katiba mpya, hao wasanii wangengoja mpani lini?

Wasanii hawana elimu, wengi wao wameishia form four

wasanii hawajaisoma katiba, kwa nini wanasema ni nzuri kabla ya kuisoma

Hata wakiisoma hawataielewa, Kwao katiba ni km kitabu cha ufunuo wa Yohana kwa wakristo ni Lazima ujiongeze kuelewa sio kusoma Kama gazeti la udaku!!
 
Haha,hawa wasanii wanaojiita mastaa ndio maana wanaishia kuuza ivo vikojoleo vyao!,au kwasababu hawajasoma ndo maana wanalopoka lopoka tu,sasa huyo nae nani kamuambia kuna katiba mpya tayari mpaka aanze kutangaza hayo akati hata mkuu wa kaya mwenyewe anasema hajui mchakato utaendelea lini???,basi mliompa ustaa mkumbusheni huyo mama kuwa hii ni rasimu ya katiba na si katiba yenyewe!?
 
wanatafuta fursa ya kwenda newyork na nyalandu kutangaza utalii.
 
Back
Top Bottom