Mastaa kumfanyia Edward Lowassa sherehe ya kumpongeza

Mastaa kumfanyia Edward Lowassa sherehe ya kumpongeza

hawa wasanii njaa zinawasumbua Lowassa atahangaika sana
 
Wanafiki tu hao hamna chochote.. Wanataka kujifinya wansoma nyakati.. Wanatafta pa kuponea
 
Atakuwa anajifanyia ye mwenyewe huyo kama ni kweli
 
kumbe anataka kuwa rais wa bongo movie leo ndo nimeamin kuwa mvi sio busara
 
Hizi drama inatakiwa tufike mahala tutafute namna ya kuwaonyesha waandaaji kuwa hazina maana,na hata ikibidi kupiga kampeni kali ya kususia kazi zao hawa wasanii wetu ambao walishatalikiana na fikra safi vichwani mwao.
 
Back
Top Bottom