Mastaa kumfanyia Edward Lowassa sherehe ya kumpongeza

Mastaa kumfanyia Edward Lowassa sherehe ya kumpongeza

Acha washerekee alaf tutaomba video tuone kama hyo lowassa ataweza kunyanyua hata glass ya mvinyo anavotetemeka
 
Inasikitika kuona watu wenye fikra finyu wasio na moyo wa kizalendo juu ya nchi hii,wanatumiwa na wasaka tonge vibaya.Si msubiri Oktoba 2015 kama ndoto yenu itatimia kweli
 
huu ni udaku kama udaku mwengine
 
Duh,hao wakaa uchi kwenye filamu ndiyo wapambe wa Lowa
ssa!!!
 
2015 rais tanzania ni mwanamke na msomi zaidi kama profesa ivi na mwenyekujua mambo ya uchumi
nani? Prof. Tiba? Mwenyewe amekalia kuti kavu. Ila jamani kuna ndugu wanapendana. Wanapeana zawadi mpaka bilioni?? Tanzania hii hii?
 
Njaa mbaya sana. Wanatafuta njia rahisi ya kujipatia riziki. Vipi Diamond atakuwepo kwenye sherehe hizo? Inachekesha sana
Kwani Lizaboni hautaki mwanaccm aanze harakati?
Lowasa ndie mgombea kupitia ccm
 
Last edited by a moderator:
Ila jamani, japokuwa habari hii imekaa kiudaku zaidi(GPL), ila kunaweza kuwa na chembe za ukweli ndani yake. Akili za wale wanaocheza filamu za kibongo akili zao si mnazijua? Dk mbili mbele.
 
hawa si ndiyo wenye vipini puani na midomoni, bangi mbaya wamuulize rayc
 
Wangekuwa wanaifahamu KATIBA YA CCM, na huruka/tabia ya viongozi wake wasingefanya huu ujinga.

Kamati kuu ya CC ndiyo yenye jukumu la kupendekeza majina 5 kwenda halmashauri kuu kupigiwa kura.

Hakuna utaratibu wala vigezo vinavyoelewka ambavyo Kamati kuu inapaswa kufuata katika kupendekeza majina hayo 5.

Kamati kuu ya CCM ndiyo mwisho wa NDOTO ya Lowassa, kwani jina lake litakatwa na halitakwenda NEC kupigiwa kura.

Nafikiri hawa Bongo movie wanafanya hivyo ili KULICHUNA BUZI, katika saa hizi za lala salama kwani hiloBUZI lao halitapita KIZINGITI cha Kamati kuu!
 
Hawa nao wanapendaga kujizalilisha ndomana tangia kanumba afe na bongo movie imekufa
 
Njaa mbaya sana. Wanatafuta njia rahisi ya kujipatia riziki. Vipi Diamond atakuwepo kwenye sherehe hizo? Inachekesha sana
siku hizi umekuwa mpinzani wa CCM? au Lowasa kahama CCM ila hajatutangazia?
YAANI ULIVYOKUWA HUNA MSIMAMO NA UNAVYOVIPOSTI HUMU KILA SIKU, KWELI NAKUONEA HURUMA. UMEKUWA HUNA TOFAUTI NA KICHAAA ANAEWEZA KUTEMBEA BILA MWELEKEO. JITAMBUE WEWE NI MTU MZIMA NA MCHANGO WAKO UNAPASWA KULISAIDIA TAIFA KUENDELEA.
 
Labda yule msanii anaitwa hemedi, mpendasina na asiye na talent yeyote
 
Sidhani kama ni kweli,hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kufanya party eti kusherekea matokeo ya utafiti[opinion] tena ya TWAWEZA. Kwanza hao TWAWEZA hiyo reseacrh yao walifanyia mikoa ipi na ilihusisha watu gani?mbona mimi sijawahi hata kuwasikia hao TWAWEZA na hata mkoani kwetu hawakuja,nimeuliza watu mbalimbali kama waliwahi kusikia hao jamaa wakifanya research ,nao kama mimi hata kuwajua hawawajui.
 
Back
Top Bottom