Massive Two Rivers mall in Nairobi aggressively conquers East & Central Africa shopping experience

One thing most people should know is that; Kenya's economy is largely supported by tourism and there are many and I repeat, many multi-nationals in Kenya. That's why you see "a lot" of whites.
 
Hahaha...wewe rudi kibera tu, unasifia jiji lililoendelezwa na wageni?

Hahaha. This is as good as arguing with a fool....Two/Three lines of argument with you tells me you have a soaked cushion in between your ears.Sawa Nairobi imeendelezwa na wageni.Umetosheka sasa? Good rudi Mabatini basi......Tihihi!
 
Hahaha. This is as good as arguing with a fool....Two/Three lines of argument with you tells me you have a soaked cushion in between your ears.Sawa Nairobi imeendelezwa na wageni.Umetosheka sasa? Good rudi Mabatini basi......Tihihi!
Pinga kwa hoja acha viroja nyang'au
 
Two-rivers-mall.jpg
 
Hahaha ...nimeishi Nairobi over 3 yrs, rented houses in many street over there so I surely know what m talking about, na huu mchezo hauhitaji hasira mkuu.

Again, I had been working with so many projects in ua prominent's premises hence I undesrstand what your fellow kenyans owns.
sasa hio 3 years ndo unajigamba unajua nairobi.....unaumwa wewe
 
sasa hio 3 years ndo unajigamba unajua nairobi.....unaumwa wewe
Umesahau huu ugonjwa ma*mako ndio aloniambukiza?

We kweli punguani, kwani Nairobi imekuwa jiji gani la kumfanya mtu atumie muda mrefu kuujua? Watu wanafahamu majiji kama NY, au hata hapo Johannesburg within some months we unazungumzia hapo Nairobi?

Hahaha... kapimwe utindio huo.
 
Please, go first.
Usinitupie mpira mkuu, tuwekee ushahidi kuwa hizo Malls na maeneo ya lavington, Karen,Muthaiga na hurlingham yanamilikiwa na wananchi weusi/Raia wa kawaida wa kenya.

Baada ya hapo mimi nitakutajia kwa ushahidi Malls za Kenya zinazomilikiwa na Wawekezaji wa Asia na mwingine Qatar ila wanawatumia local Kenyans.

Go ahead,
 
Afadhali sisi twaishi kibera.Nyinyi kule Manzese uwanja wa fisi, Mwananyamala kwa kopa, Tandale na Kinondoni Makaburini...Duh! Tuwache na kibera yetu iko afadhali kabisa.......Ama wataka nianzishe Albino tena.?
Usiwe na hofu mkuu, tiririka uwezavyo, kuhusu Albino wala usijali ila wallah mimi tokea nilipomwona yule Mkenya anayejiita Mungu (Mr. Wanyonyi)na kupata wafuasi...nilishajua kweli Manyang'au will never change.
 
Usiwe na hofu mkuu, tiririka uwezavyo, kuhusu Albino wala usijali ila wallah mimi tokea nilipomwona yule Mkenya anayejiita Mungu (Mr. Wanyonyi)na kupata wafuasi...nilishajua kweli Manyang'au will never change.

Why should we change? Change for what? We are who we are.Kama waumwa go and hug a transformer. Enough with a mad man like you.
 
Umesahau huu ugonjwa ma*mako ndio aloniambukiza?

We kweli punguani, kwani Nairobi imekuwa jiji gani la kumfanya mtu atumie muda mrefu kuujua? Watu wanafahamu majiji kama NY, au hata hapo Johannesburg within some months we unazungumzia hapo Nairobi?

Hahaha... kapimwe utindio huo.
you see how empty you are upstairs....nani kakuuliza mambo ya NY na Johannesburg ndo uanze kuyataja?unajua barabara na sehemu za miji tu but its obvious huijui miji kiundani.ati lavington imejaa wazungu...habari za vijiweni
 
Usinitupie mpira mkuu, tuwekee ushahidi kuwa hizo Malls na maeneo ya lavington, Karen,Muthaiga na hurlingham yanamilikiwa na wananchi weusi/Raia wa kawaida wa kenya.

Baada ya hapo mimi nitakutajia kwa ushahidi Malls za Kenya zinazomilikiwa na Wawekezaji wa Asia na mwingine Qatar ila wanawatumia local Kenyans.

Go ahead,
nimekuuliza investors wa two rivers nikina nani haujajibu waanza leta story nyingi
 
you see how empty you are upstairs....nani kakuuliza mambo ya NY na Johannesburg ndo uanze kuyataja?unajua barabara na sehemu za miji tu but its obvious huijui miji kiundani.ati lavington imejaa wazungu...habari za vijiweni
Hahaha...slow down man, kilichonifanya nitaje hayo majiji makubwa ni ulimbukeni wako wa kudhani itamgharimu mtu miaka mitatu bila kuifahamu Nairobi ya wajaluo na wakikuyu.
 
nimekuuliza investors wa two rivers nikina nani haujajibu waanza leta story nyingi
Wewe acha kudandia treni kwa mbele, mimi hilo swali nimemjibu mwenzio nliyekuwa nachatt naye kistaarabu kabla wewe hujaleta milonjo yako,

Pia hayo maswali alipaswa kunijibu yeye kisha tuendelee na mjadala, tatizo lako wewe ni mipovu.
 
Wewe acha kudandia treni kwa mbele, mimi hilo swali nimemjibu mwenzio nliyekuwa nachatt naye kistaarabu kabla wewe hujaleta milonjo yako,

Pia hayo maswali alipaswa kunijibu yeye kisha tuendelee na mjadala, tatizo lako wewe ni mipovu.
ukishindwa toa hoja ndo maneno yasiyo na msingi yamekujaa....jibu swali mambo yaishe
 
ukishindwa toa hoja ndo maneno yasiyo na msingi yamekujaa....jibu swali mambo yaishe
Nijibu vipi swali wakati swali langu la awali halijajibiwa?

Uungwana ni kujibu swali uliloulizwa kisha uulize pia, how comes u answer qns by qns?
 
Back
Top Bottom