Babkey JF-Expert Member Dec 10, 2010 4,836 3,659 Apr 7, 2017 #2 Daaaah!!! Noma sana. Kizuri chao...kibaya chetu.
MKWEPA KODI JF-Expert Member Nov 28, 2015 28,701 71,051 Apr 7, 2017 #4 Mkuu ungetoa na tafsiri maana wakina sizonje na bashite hawawezi kuelewa
M MAGUNJA JF-Expert Member Jul 3, 2012 1,003 545 Apr 7, 2017 #5 Haha ha wakikuta madini shambani kwako ni yao wanakuhamisha. Wakikuta bangi ni yako wanakukamata!! Great thinker.
Haha ha wakikuta madini shambani kwako ni yao wanakuhamisha. Wakikuta bangi ni yako wanakukamata!! Great thinker.