kluger
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,093
- 1,905
Habari wazalendo wa nchi hii yaani wakulima,
Niona nifungue uzi huu kwa wale wakulima wa mazao ya muda mfupi, ili tufahamishane hali ya soko bei kupanda na kushuka, lakini pia tupeane taarifa ya mazao ambayo bei ni nzuri kwa faida ya mkulima kibiashara.
Na maanisha mazao kama nyanya, matango, hoho, pilipili, bamia nk
Kwa wakulima wa kwny greenhouse pia njooni mtupe uzoefu mazao gani yanalipa zaidi kwa mikoa ya pwani, Dar, Tanga na mikoa kama hiyo !
Ahsante, natumaini michango ya nguvu !
Karibuni !
Niona nifungue uzi huu kwa wale wakulima wa mazao ya muda mfupi, ili tufahamishane hali ya soko bei kupanda na kushuka, lakini pia tupeane taarifa ya mazao ambayo bei ni nzuri kwa faida ya mkulima kibiashara.
Na maanisha mazao kama nyanya, matango, hoho, pilipili, bamia nk
Kwa wakulima wa kwny greenhouse pia njooni mtupe uzoefu mazao gani yanalipa zaidi kwa mikoa ya pwani, Dar, Tanga na mikoa kama hiyo !
Ahsante, natumaini michango ya nguvu !
Karibuni !