Mnama
JF-Expert Member
- Oct 13, 2010
- 2,667
- 2,128
Masista duu wana mambo kweli huku mjini;-
Cheki classification zoa wananikumbusha biology ya O level;
1. Fundi Chuma_ Huyu kazi yake ni moja tu aani kupiga mzigo mpaka kiu kishe siku genye zimepanda.
2.Kinyonga Maridadi_wa kwenda nae kwenye Outings ,Birthdays , Harusi na sherehe zinginezo lazima awe handsome.
3. Bwege_Huyu ndio mtoa hela anagharamia kila kitu including hao hapo juu wanaishi kwa fund zake akisepa nao hapo juu huwa wanapotea zao.
Cheki classification zoa wananikumbusha biology ya O level;
1. Fundi Chuma_ Huyu kazi yake ni moja tu aani kupiga mzigo mpaka kiu kishe siku genye zimepanda.
2.Kinyonga Maridadi_wa kwenda nae kwenye Outings ,Birthdays , Harusi na sherehe zinginezo lazima awe handsome.
3. Bwege_Huyu ndio mtoa hela anagharamia kila kitu including hao hapo juu wanaishi kwa fund zake akisepa nao hapo juu huwa wanapotea zao.