Masimamo wa HESLB kuhusu Waliokuwa Wanafunzi Wa St Joseph

Rajab_Omar

JF-Expert Member
May 15, 2016
16,482
27,182
Kwa Wale Watakaojifanya Wajanja Kutoka SAINT JOSEPH UNIVERSITY na Kutaka Kujihamishia Vyuo Vengine Huku Wakiwa Wametimuliwa Chuoni Hapo, Basi Wajue HESLB iko Macho Na Itahamishia Mikopo Yake Kwa Wale Wanafunzi Halali tu Ambao Hawakutimuliwa bali Wanahama Chuoni Hapo Kutokana Na Kufungwa Chuo Hicho! Na Mikopo Yao itafata huko Katika Vyuo Wanavyoeleke.
 
Wengine wanaenda kusoka diploma ya mifugo kilimo na wengine certificate kabisa je Sera ya mikopo inaruglhusu kumpa mkopo mtu anaesoma certicate au diploma za kilimo, mifugo, au afya!
 
Back
Top Bottom