Masikitiko: James Lembeli kupigwa chini

Yaani ubabaishi kama huuu tumewachoka jamaniiii miaka hamsini imetosha
 
Bandundu nadhani wewe kichwa chako kina barafu limegandisha ufahamu wako umekuwa, zuzu
 
maslahi ya Taifa au maslahi binafsi??
 

Huyu lembeli ubunge atauskia kwenye radio
 
Ebana huu ndo ukichaa uliokubuhu,zungumzeni fact, toa uthibitisho kwa kupinga hoja.

Yan unatak watu wabishane kuhusu habar za udaku???...hauna factz arf unataka factz!!!!!nonsens
 
sio kubuluzwa ni kuburuzwa. Hivi ccm na ahadi zake mtaongelea lini. maana hapa jukwani 24-7 ni lowasa. ukawa na chadema.muda unazidi kwenda na magufuli haeleweki zaidi ya pushup. kupiga ngoma. kukata viuno na kuchanganya libya na iraq. lakini ukiuliza watu ahadi za magufuli hakuna anayejua.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…