Masikini tunalindwa sana na Mungu

Masikini tunalindwa sana na Mungu

BABA TUPAC

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2015
Posts
1,533
Reaction score
3,837
Tuliokulia vijijini tunafahamu jinsi maisha yetu yalivyo ya shida, wenye hali nzuri huwa wanakula atleast mara mbili kwa siku huku wengi tuliishia kula mara moja kwa siku na bado tunafanya shughuli ngumu.

Pamoja na kushinda muda mwingi bila kula chakula lakini watu wengi masikini haumwi vidonda vya tumbo.

Tofauti na wale wa hali ya kati na juu ambao kuna wakati wanaweza kula hata zaidi ya mara tatu lakini wao ndio wanaongoza kwa kuumwa vidonda vya tumbo.

Sisi masikini tunakushukuru sana Mungu kwa kutulinda kinyume na hapo masikini tungekufa sana
 
D
Tuliokulia vijijini tunafahamu jinsi maisha yetu yalivyo ya shida, wenye hali nzuri huwa wanakula atleast mara mbili kwa siku huku wengi tuliishia kula mara moja kwa siku na bado tunafanya shughuli ngumu.

Pamoja na kushinda muda mwingi bila kula chakula lakini watu wengi masikini haumwi vidonda vya tumbo.

Tofauti na wale wa hali ya kati na juu ambao kuna wakati wanaweza kula hata zaidi ya mara tatu lakini wao ndio wanaongoza kwa kuumwa vidonda vya tumbo.

Sisi masikini tunakushukuru sana Mungu kwa kutulinda kinyume na hapo masikini tungekufa sana
Daa huu ni ukweli mtupuuu
 
kijiji gani hicho unakula mara moja kwa siku? labda upareni. vijiji vyakula viko vingi waweza kula hata mara 4 kwa siku?
kwa bahati mbaya hujakaa vijijini ila unasikiliza hadithi za vijiweni, usiombe yakukute
 
Tuliokulia vijijini tunafahamu jinsi maisha yetu yalivyo ya shida, wenye hali nzuri huwa wanakula atleast mara mbili kwa siku huku wengi tuliishia kula mara moja kwa siku na bado tunafanya shughuli ngumu.

Pamoja na kushinda muda mwingi bila kula chakula lakini watu wengi masikini haumwi vidonda vya tumbo.

Tofauti na wale wa hali ya kati na juu ambao kuna wakati wanaweza kula hata zaidi ya mara tatu lakini wao ndio wanaongoza kwa kuumwa vidonda vya tumbo.

Sisi masikini tunakushukuru sana Mungu kwa kutulinda kinyume na hapo masikini tungekufa sana
Tena wasio na uwezo wa kifedha(sio maskini,maskini ni mlemavu wa viungo au asiye na viungo)wanaishi maisha marefu sana.Naomba ukumbuke kwamba hiyo kazi unayoidharau ina faida kubwa mno ya kuuweka mwili wako physically fit,kamwe usiidharau.Laiti ungejua kwamba watu wasio na uwezo wa kifedha na watu wa vijijini hawaugui sana magonjwa ya kijinga kama sukari,pressure,cancer nk.Kwa nini?Kwa sababu magojwa haya yanatokana na ulaji wa vyakula visivyofaa na kukosa mazoezi.Kwa vile watu wengine wa vijijini wanakula vyakula vya asili na wanafanya kazi sana,si rahisi kupata magonjwa kama kisukari nk..Mimi magonjwa haya nayaweka kwenye kundi la utapia mlo,kwa kuwa yanatokana kwa kiasi kikubwa na ulaji wa vitu visivyo faa.

Mwisho nakushauri uendelee kula vyakula vya asili na kuchapa kazi,kwa kuwa hapo ndipo uponyaji wako ulipo na kamwe usitamani maisha ya watu wa mjini,kwa kuwa ni maisha yasiyofaa na mabovu sana.
 
Watu wote wanalindwa na Mungu, Hakuna anayelindwa na pesa,jeshi au sijui nn
 
kula yangu ni ya shida sana...tokea mwaka umeanza nimeandamwa na majanga yaliyo nizidi uwezo, sina furaha, mwili unadhohofika kwa njaa, mawazo kila saa...huu uzi mpaka nahisi unanihusu mim...kwa kweli naelekea kukata tamaa..
 
Eti kula mara moja!!?? Kijiji gani hicho ukiwa mvivu unategemea nani akupe chakula..

Naomba nikifahamu iko kijiji na mkoa kiliopo !
 
kula yangu ni ya shida sana...tokea mwaka umeanza nimeandamwa na majanga yaliyo nizidi uwezo, sina furaha, mwili unadhohofika kwa njaa, mawazo kila saa...huu uzi mpaka nahisi unanihusu mim...kwa kweli naelekea kukata tamaa..

Mwaka jana ulikuwa unakulaje kwani?
 
Back
Top Bottom