Ukweli ni kuwa watu wamechoka na Wanasiasa Walafi!!!!!! Mimi napenda kumkumbusha Rais wangu juu ya tamko lake la wanasiasa kutojiusisha na Biashara huku yeye Mwenyewe akiwateua haohao hata baada ya Mda mfupi wa kutamka tamko lake anasahau kama alikemea.Kukubali kwake Kinana kuteuliwa kama katibu Mkuu CCM pia ni kosa, alipaswa pia kumkumbusha Rais kuwa unaniteua wakati ulitukataa sisi wafanyabiashara, jibu angelipata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.