Mhhh....!!!
Daah braza we mbaya teh teh teh umeenda kufukunyua sred la miaka 7 ago.....hahahaaa Manara Albino mswahili,Albino tapeli..Mhhh....!!!
Na huyu ni computer ya kuiba magariMaskini Manara ananikumbusha baba yake tulivyokuwa tunamwita COMPUTER enzi hizo za Yanga ya miaka ya 70
Wachezaji wa 5imba wachunge sana kutapeliwa pikipiki zao na Manara. Amebobea kwenye taaluma hiyo.LILE sakata la tuhuma za utapeli linalomkabiri Katibu Mwenezi wa zamani wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Haji Manara, leo limeingia katika hatua nyingine baada ya katibu huyo kupewa dhamana kisha ghafla kudakwa tena na polisi wa kituo kikuu jijini Dar es Salaam nje ya Mahakama ya Kinondoni. Kamanda huyo wa zamani wa CCM alidakwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kinondoni ambako anakabiliwa na kesi ya utapeli wa magari. Alikamatwa na askari watatu ambao walijitambulisha wanatoka kituo kikuu, walimwambia Haji kuwa ana tuhuma zingine nzito za utapeli wa magari mengine matano na shauri lake limefunguliwa katika kituo hicho.
Manara akiwa amezungukwa na askari kanzu wa kituo kikuu cha polisi mara baada ya kutoka mahakamani.
Manara akiwa chini ya ulinzi akielekezwa kuingia kwenye gari.
Gari lililombeba Manara likiwa tayari kuondoka kuelekea kituo kikuu cha polisi.
Huyo huyo. Tapeli mzoefu.Write your reply... MANARA HUYUHUYU WA BODABODA FC?
Umemsahau Hasani Hasanoo alikamatwa na Copper za wizi,Golikipa wao Mambosasa aliiba godoro guest na Abdi Banda,Michael Paul na Christopher Alex wakiwa Simba walishapata misala ya wizi wa magariSimba ni kichaka cha wahalifu!!!
Aden Rage alishakula mvua kadhaa kutokana na uhalifu hata kama baadae alikata rufaa...
Zakaria Hans Pope huyu ndo kabisa manake alifikia hadi kufanya uhaini!!!
Haji Manara; huyu ni mjanja mjanja wa mjini... maneno meeeeeeeeengi kumbe tapeli tu!!!
KATIBU Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Haji Manara, amejiuzulu wadhifa huo baada ya kuhusishwa na tuhuma za utapeli. Katibu wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Kirumbe Ng’enda, jana alilithibitishia gazeti hili kuwa wamekubali barua ya kujiuzulu kwa Manara iliyowasilishwa kwao juzi.Mimi ninachotaka kujua kama ni kweli jamaa ni tapeli au anaonewa. Mwenye adat azishushe basi humu
Tuhuma mbili tofauti mkuu hata Kama zinafananaDa..
Hivi kwa nini hizo kesi wasingeziunganisha kwenye jalada moja?
Maana zinafanana