Wasalam Wanajukwaa Hili Takatifu Kwanza Nawapa Moyo Wote Wapendao Mabadiliko Ya Kweli Na Uhuru Wa Kwele Mmepiga Hatua Hivyo Endeleeni Na Mapambano Ushindi Wa Haki Dhidi Ya Uovu,wizi,dhuluma Na Ufisadi Uko Karibu Kwa Sasa.
Ila Kilio Changu Naulilia Mji Wangu Huu Ambao Hata Mzee Mandela Wakati Anawasuluhisha Wanyarwanda Alitamani Kuish Hapa Na Hata Wanyarwanda Wenyewe Walituomba Tuwape Viwanja Wajenge Hapa Geneva Ya Africa Madini Tanzanite,utalii Na Biashara Za Kila Aina Dini Zote Na Elimu Ya Juu Bila Kusahau Sanaa Yani Kila Kabila Lilikua Hapa Na Hakuna Alotamani Kuondoka Lakin Sasa Ni Siasa Za Uhasama Tu
Thread imeniacha mtupu kama suspense movie. Okay, ulitaka kusema nini?
hijja madava usiwe mnafiki kwani arusha haijachukuliwa yote na wapinzani. kwanza sisi tunaongoza na isitoshe 2015 tunahakikisha tunalikomboa jimbo hilo kutoka mchepukoni..shaka ondoa tumejitathmini tumegundua wapi tuliteleza tunajipanga ...safari moja huanzisha nyingine na uchaguzi mmoja huanzisha mwingine. Hakuna kitu kama ushindi wa haki pale mnapoleta vurugu na kuwapiga wanachama wetu...mapambano yanaendelea nasi tunakomaa kuhakikisha tunamng'oa lema wenu kinara wa vurugu 2015 na mitaa na vitongoji tutavikomboa tu 2019
Thread imeniacha mtupu kama suspense movie. Okay, ulitaka kusema nini?
Wala sishangai, kufitinisha watu ndo kazi ya CCM!!!!Nikwambie tu kwamba CCM haina majibu bado kwa nini inachukiwa sana Arusha. Wangekuwa wanajua wasinge jikita ktk siasa za ukabila na udini ili kuwagawa wananchi wanao ishi Arusha!
Arusha Yenu Na Nani ... ? Pili Jitulize utulizane ..
hijja madava usiwe mnafiki kwani arusha haijachukuliwa yote na wapinzani. kwanza sisi tunaongoza na isitoshe 2015 tunahakikisha tunalikomboa jimbo hilo kutoka mchepukoni..shaka ondoa tumejitathmini tumegundua wapi tuliteleza tunajipanga ...safari moja huanzisha nyingine na uchaguzi mmoja huanzisha mwingine. Hakuna kitu kama ushindi wa haki pale mnapoleta vurugu na kuwapiga wanachama wetu...mapambano yanaendelea nasi tunakomaa kuhakikisha tunamng'oa lema wenu kinara wa vurugu 2015 na mitaa na vitongoji tutavikomboa tu 2019
Ccm ni viumbe vinavyotoweka kwa kasi sana hapa arusha
kutoka mitaa 148 2009 hadi mitaa 70 tena mingine kwa kupewa na mapolis?
Kweli uzee dawa sisi wazee wa ccm matumbo yanatuuma hatupati picha kabisa ya kupona 2015 hata kwa darubiniView attachment 211850
Ile operesheni futa CCM naona walitumia antivirus fake! UKAWA bado under dog kwa CCM
Arusha Lema ndio kaiharibu
hijja madava usiwe mnafiki kwani arusha haijachukuliwa yote na wapinzani. kwanza sisi tunaongoza na isitoshe 2015 tunahakikisha tunalikomboa jimbo hilo kutoka mchepukoni..shaka ondoa tumejitathmini tumegundua wapi tuliteleza tunajipanga ...safari moja huanzisha nyingine na uchaguzi mmoja huanzisha mwingine. Hakuna kitu kama ushindi wa haki pale mnapoleta vurugu na kuwapiga wanachama wetu...mapambano yanaendelea nasi tunakomaa kuhakikisha tunamng'oa lema wenu kinara wa vurugu 2015 na mitaa na vitongoji tutavikomboa tu 2019
hijja madava usiwe mnafiki kwani arusha haijachukuliwa yote na wapinzani. kwanza sisi tunaongoza na isitoshe 2015 tunahakikisha tunalikomboa jimbo hilo kutoka mchepukoni..shaka ondoa tumejitathmini tumegundua wapi tuliteleza tunajipanga ...safari moja huanzisha nyingine na uchaguzi mmoja huanzisha mwingine. Hakuna kitu kama ushindi wa haki pale mnapoleta vurugu na kuwapiga wanachama wetu...mapambano yanaendelea nasi tunakomaa kuhakikisha tunamng'oa lema wenu kinara wa vurugu 2015 na mitaa na vitongoji tutavikomboa tu 2019