Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,941
Na mwana wa mwanadamu ana hita mahali pa kuweka kichwa!
Eniwei, wakubwa..nahitaji kachumba cha kupanga Dar..ningependelea chenye bedroom,jiko, bafu/choo, na sebule..but all available otpions are welcome ili nione ntafanya uamuzi gani...
Plus nikijuzwa na diferent costs itakuwa nzuri zaidi.
Eniwei, wakubwa..nahitaji kachumba cha kupanga Dar..ningependelea chenye bedroom,jiko, bafu/choo, na sebule..but all available otpions are welcome ili nione ntafanya uamuzi gani...
Plus nikijuzwa na diferent costs itakuwa nzuri zaidi.