Mashushushu wa siku hizi hamna kitu! Waisilamu wamejipanga na kuandamana hadi wizarani wao walikuwa wapi. Upuuzi mtupu!
najuta kufungua na kusoma udaku huu
Nawahurumia sana hao mashushushu wanaohangaika kutafuta hard copy. Siku hizi watu wanaweka document zao katika hali soft copy, tena kwa kutumia saver za Yahoo, Google, Facebook, Youtube na nyingine nyingi kama hizo ambazo saver zake zote hizo hazipo hapa nchini. Wao wakusanye tu hizo hard copy lakini watashangaa zinaprintiwa nyingine kama hizo. Sipendi kuamini kuwa wamepitwa na wakati kiasi hiki! Kama ndio hivyo basi tumekwisha, hakuna inteligensia hapa bila Information Technology. Wako kizamani sana.