Kinyungu
Platinum Member
- Apr 6, 2008
- 22,399
- 45,071
Obama yupo Nyuuoko anakula bata tuAliemuaa yeye bado anaishi? hilo ndio swla la msingi la kujiuliza
Obama yupo Nyuuoko anakula bata tuAliemuaa yeye bado anaishi? hilo ndio swla la msingi la kujiuliza
Bibi yake bado yupo hai?Obama yupo Nyuuoko anakula bata tu
Huyo Saladin umeandika alikufa homa, kichwa cha habari kinaelezea waliuawa unachanganya madesa.Kwa historia, kuna mashujaa wengi wa Kiislamu waliokufa katika vita vya Jihad. Hapa kuna baadhi yao maarufu:
Hawa ni baadhi ya mashujaa waliokufa kwa ajili ya Jihad na wanaenziwa sana katika historia ya Uislamu.
- Hamza ibn Abdul-Muttalib - Ami yake Mtume Muhammad na mmoja wa wapiganaji waaminifu zaidi wa Uislamu. Alikufa shahidi katika Vita vya Uhud.
- Khalid ibn al-Walid - Mojawapo ya makamanda wakuu katika historia ya Kiislamu, alihusika katika vita vingi vya kueneza Uislamu. Ingawa hakufa vitani, alifariki kutokana na maradhi, alijulikana kama "Upanga wa Allah" kwa ushindi wake katika vita mbalimbali.
- Salahuddin al-Ayyubi (Saladin) - Sultan wa Misri na Syria, aliyeongoza Waislamu katika vita dhidi ya Wakristo katika vita vya msalaba. Alijulikana sana kwa ukarimu wake na haki yake. Ingawa alikufa kutokana na homa, mchango wake katika vita vya Jihad ni mkubwa
ukisoma shule ya j2 hutaelewaHuyo Saladin umeandika alikufa homa, kichwa cha habari kinaelezea waliuawa unachanganya madesa.
mateteukisoma shule ya j2 hutaelewa
Magaidi lazima wateketezwewakiristo wa JF mtaumia sana, na mngalijua kwamba ukifa mkiristo unaenda kupata kaburini na akhera basi mngalikuw mngalikuwa mnajilaumu nafsi zenu. lkn ndio hivyo tena Summukubun Umuuyun
Ili Dunia itulie.Magaidi lazima wateketezwe
Hata mbowe aliitwa gaidi. Mbona anadunda?Magaidi lazima wateketezwe
Ilikuwa uongo ndiyo maana yuko huru.Hata mbowe aliitwa gaidi. Mbona anadunda?
Kwa hivyo kama sio busara za Mama ungalikjua kama ni Uongo?Ilikuwa uongo ndiyo maana yuko huru.
Kila mwenye akili timamu alijua kuwa ule ulikuwa uwongo.Kwa hivyo kama sio busara za Mama ungalikjua kama ni Uongo?
Sheikh Samaleko. Hivi wale mabikra 72 wamapewa wakifika tu au wanafikia kwenye mito ya ulevi halafu ndio waende kuzindua watoto wenye macho gololi na vifua vyenye tv 🤣🤣😂😂Kwa historia, kuna mashujaa wengi wa Kiislamu waliokufa katika vita vya Jihad. Hapa kuna baadhi yao maarufu:
Hawa ni baadhi ya mashujaa waliokufa kwa ajili ya Jihad na wanaenziwa sana katika historia ya Uislamu.
- Hamza ibn Abdul-Muttalib - Ami yake Mtume Muhammad na mmoja wa wapiganaji waaminifu zaidi wa Uislamu. Alikufa shahidi katika Vita vya Uhud.
- Khalid ibn al-Walid - Mojawapo ya makamanda wakuu katika historia ya Kiislamu, alihusika katika vita vingi vya kueneza Uislamu. Ingawa hakufa vitani, alifariki kutokana na maradhi, alijulikana kama "Upanga wa Allah" kwa ushindi wake katika vita mbalimbali.
- Salahuddin al-Ayyubi (Saladin) - Sultan wa Misri na Syria, aliyeongoza Waislamu katika vita dhidi ya Wakristo katika vita vya msalaba. Alijulikana sana kwa ukarimu wake na haki yake. Ingawa alikufa kutokana na homa, mchango wake katika vita vya Jihad ni mkubwa
Mbowe hajawahi kulipua Bomu hata moja huku akilalama Allahu Akbar!.Hata mbowe aliitwa gaidi. Mbona anadunda?
Dini imeenezwa kwa njia ya upanga!Kwa historia, kuna mashujaa wengi wa Kiislamu waliokufa katika vita vya Jihad. Hapa kuna baadhi yao maarufu:
Hawa ni baadhi ya mashujaa waliokufa kwa ajili ya Jihad na wanaenziwa sana katika historia ya Uislamu.
- Hamza ibn Abdul-Muttalib - Ami yake Mtume Muhammad na mmoja wa wapiganaji waaminifu zaidi wa Uislamu. Alikufa shahidi katika Vita vya Uhud.
- Khalid ibn al-Walid - Mojawapo ya makamanda wakuu katika historia ya Kiislamu, alihusika katika vita vingi vya kueneza Uislamu. Ingawa hakufa vitani, alifariki kutokana na maradhi, alijulikana kama "Upanga wa Allah" kwa ushindi wake katika vita mbalimbali.
- Salahuddin al-Ayyubi (Saladin) - Sultan wa Misri na Syria, aliyeongoza Waislamu katika vita dhidi ya Wakristo katika vita vya msalaba. Alijulikana sana kwa ukarimu wake na haki yake. Ingawa alikufa kutokana na homa, mchango wake katika vita vya Jihad ni mkubwa
Aisee kipenzi cha Imamu Hussein upo kweli mbona umepoaYani nikikumba Imamu wetu alivyouwawa kikatili kulinda, kupigania na kuutetea uislamu yani naenda chumbani kwenye kona giza nakaa na kujikunyata huku nimekunja miguu nakuzamisha kichwa kwenye magoti nakukikumbatia kwa kubana kwa mikono miwili nakuangua kilio cha hatarii.
Kipenzi chetu cha dhati alipambana sana leo tumepewa Tawfiq tunauhakika wa jannah na firdaus.
Allah amfanyie wepes na ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein.
Hiyo hapo chini ni seal ya kipenzi chetu cha dhati Imam Hussein. Kila muislamu wa Shia nyumbani kwake anayo.
View attachment 3058425
Huyo ndo mwenyewe mwamba hapo chini kipenzi chetu cha dhati bila yeye kujitoa nafsi leo uislamu usingekuwepo.
View attachment 3058426
Yoda Code 255 Kinyungu Jagina adriz
Habari zao zaidi nazipata wapi Hawa mashahid wa jihadKwa historia, kuna mashujaa wengi wa Kiislamu waliokufa katika vita vya Jihad. Hapa kuna baadhi yao maarufu:
Hawa ni baadhi ya mashujaa waliokufa kwa ajili ya Jihad na wanaenziwa sana katika historia ya Uislamu.
- Hamza ibn Abdul-Muttalib - Ami yake Mtume Muhammad na mmoja wa wapiganaji waaminifu zaidi wa Uislamu. Alikufa shahidi katika Vita vya Uhud.
- Khalid ibn al-Walid - Mojawapo ya makamanda wakuu katika historia ya Kiislamu, alihusika katika vita vingi vya kueneza Uislamu. Ingawa hakufa vitani, alifariki kutokana na maradhi, alijulikana kama "Upanga wa Allah" kwa ushindi wake katika vita mbalimbali.
- Salahuddin al-Ayyubi (Saladin) - Sultan wa Misri na Syria, aliyeongoza Waislamu katika vita dhidi ya Wakristo katika vita vya msalaba. Alijulikana sana kwa ukarimu wake na haki yake. Ingawa alikufa kutokana na homa, mchango wake katika vita vya Jihad ni mkubwa