uhurumoja JF-Expert Member Mar 2, 2014 5,303 9,486 Nov 6, 2023 #1 Baada ya kupoteza kwa Azam goli 3 Leo tena mashujaa wamepigwa goli zingine tatu kutoka kwa Singida Big Stars. Mashabiki wamekiri kuwa team yao Sasa imepoteana.
Baada ya kupoteza kwa Azam goli 3 Leo tena mashujaa wamepigwa goli zingine tatu kutoka kwa Singida Big Stars. Mashabiki wamekiri kuwa team yao Sasa imepoteana.
B Bendanda JF-Expert Member Jun 25, 2020 444 377 Nov 13, 2023 #5 Hakika sasa wamerudi kwenye kiwango chao, Msimu huu wanarudi walikotoka wasipoacha uchawi wao 🤣 🤣
I iyokichiku Member Oct 30, 2023 36 70 Nov 13, 2023 #6 Hakuna Cha miujiza kwenye mpira wala hirizi Wala mha