Cku hz watu wanayatumia kwa kuongeza nini et... hahahaHabari
Tunauza mashudu ya alizeti kwa ODA ya siku nne kabla
Kg1 bei ni Tsh 275/=
Kwa mawasiliano
0716 583808
Karibuni
Cku hz watu wanayatumia kwa kuongeza nini et... hahaha
Chakula cha mifugo mkuuSifaham Zaid ya kuwa chakula cha mifugo
Chakula cha mifugo mkuu
Nenda kiwanda cha vyakula vya mifugo kinaitwa Mt. Meru kipo arusha ila hao wahindi wajanja-wajanja sanaHabari
Tunauza mashudu ya alizeti kwa ODA ya siku nne kabla
Kg1 bei ni Tsh 275/=
Karibuni
Nenda kiwanda cha vyakula vya mifugo kinaitwa Mt. Meru kipo arusha ila hao wahindi wajanja-wajanja sana
Hadi Dar sh ngapi?
Umeyasaga ?
Uwezo wako wa kuzalisha ukoje,mm nataka mengi kunapunguzo?
Hii ni bei ya kuuzia ukiwa Kiteto huko huko au ni bei ya mzigo ukishafika Dar es Salaam.Habari
Tunauza mashudu ya alizeti kwa ODA ya siku nne kabla
Kg1 bei ni Tsh 275/=
Karibuni
Hii ni bei ya kuuzia ukiwa Kiteto huko huko au ni bei ya mzigo ukishafika Dar es Salaam.
Maana kama ni hivyo inabidi mtu aje amejipanga na gharama za usafiri wake.