Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,838 Reaction score 57,475 Aug 4, 2025 #281 Bush Dokta said: Biashara kichaa hii.....hizi kweli wafanye Wastafu. Yaani Mzigo wa milioni 10 faida laki mbili? Kwa hiyo nilioni moja faida ni elfu 20? Nguvu kazi unailipaje? Kufyatua tofari elfu 8 is not a joke. Click to expand... Faida inapatikana Mkuu, Kwa Kila tofali 1, inazalisha faida ya shilingi 250 hadi 350 Ambapo ukiuza tofali 1,000 unazalisha Faida ya shilingi 250,000 hadi 350,000 Japo ili upate faida kubwa inategemea na Mzunguko wako mauzo
Bush Dokta said: Biashara kichaa hii.....hizi kweli wafanye Wastafu. Yaani Mzigo wa milioni 10 faida laki mbili? Kwa hiyo nilioni moja faida ni elfu 20? Nguvu kazi unailipaje? Kufyatua tofari elfu 8 is not a joke. Click to expand... Faida inapatikana Mkuu, Kwa Kila tofali 1, inazalisha faida ya shilingi 250 hadi 350 Ambapo ukiuza tofali 1,000 unazalisha Faida ya shilingi 250,000 hadi 350,000 Japo ili upate faida kubwa inategemea na Mzunguko wako mauzo
B Bush Dokta JF-Expert Member Joined Apr 11, 2023 Posts 36,334 Reaction score 60,733 Aug 4, 2025 #282 Grahams said: Faida inapatikana Mkuu, Kwa Kila tofali 1, inazalisha faida ya shilingi 250 hadi 350 Ambapo ukiuza tofali 1,000 unazalisha Faida ya shilingi 250,000 hadi 350,000 Japo ili upate faida kubwa inategemea na Mzunguko wako mauzo Click to expand... Hapo sawa
Grahams said: Faida inapatikana Mkuu, Kwa Kila tofali 1, inazalisha faida ya shilingi 250 hadi 350 Ambapo ukiuza tofali 1,000 unazalisha Faida ya shilingi 250,000 hadi 350,000 Japo ili upate faida kubwa inategemea na Mzunguko wako mauzo Click to expand... Hapo sawa
Sitaki kuamini JF-Expert Member Joined Aug 9, 2018 Posts 1,145 Reaction score 1,344 Aug 4, 2025 Thread starter #283 Grahams said: Faida inapatikana Mkuu, Kwa Kila tofali 1, inazalisha faida ya shilingi 250 hadi 350 Ambapo ukiuza tofali 1,000 unazalisha Faida ya shilingi 250,000 hadi 350,000 Japo ili upate faida kubwa inategemea na Mzunguko wako mauzo Click to expand... Huu ni ukweli
Grahams said: Faida inapatikana Mkuu, Kwa Kila tofali 1, inazalisha faida ya shilingi 250 hadi 350 Ambapo ukiuza tofali 1,000 unazalisha Faida ya shilingi 250,000 hadi 350,000 Japo ili upate faida kubwa inategemea na Mzunguko wako mauzo Click to expand... Huu ni ukweli
Sitaki kuamini JF-Expert Member Joined Aug 9, 2018 Posts 1,145 Reaction score 1,344 Aug 4, 2025 Thread starter #284
Sitaki kuamini JF-Expert Member Joined Aug 9, 2018 Posts 1,145 Reaction score 1,344 Aug 4, 2025 Thread starter #285
Sitaki kuamini JF-Expert Member Joined Aug 9, 2018 Posts 1,145 Reaction score 1,344 Aug 4, 2025 Thread starter #286 Interlock
Sitaki kuamini JF-Expert Member Joined Aug 9, 2018 Posts 1,145 Reaction score 1,344 Aug 4, 2025 Thread starter #287 Manual 500k
Sitaki kuamini JF-Expert Member Joined Aug 9, 2018 Posts 1,145 Reaction score 1,344 Aug 4, 2025 Thread starter #288 Manual paver
Sitaki kuamini JF-Expert Member Joined Aug 9, 2018 Posts 1,145 Reaction score 1,344 Aug 4, 2025 Thread starter #289 View attachment 3431522
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,838 Reaction score 57,475 Aug 5, 2025 #290 Bush Dokta said: Hapo sawa Click to expand... Ila kama ulivyosema awali, ukipata sehemu yenye mzunguko mkubwa wa biashara ndiyo unaweza kuona faida ya hii biashara Mathalani ukiona Kwa wiki umeuza tofali 10,000 plus ndiyo unatengeneza milioni 2 hadi 3 kama faida
Bush Dokta said: Hapo sawa Click to expand... Ila kama ulivyosema awali, ukipata sehemu yenye mzunguko mkubwa wa biashara ndiyo unaweza kuona faida ya hii biashara Mathalani ukiona Kwa wiki umeuza tofali 10,000 plus ndiyo unatengeneza milioni 2 hadi 3 kama faida
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,838 Reaction score 57,475 Aug 5, 2025 #291 Sitaki kuamini said: Huu ni ukweli Click to expand... Ndiyo maana wachache wenye kujua ushindani wa hii biashara hutoa ofa ya shilingi 30 ama 50 Kwa madereva/ mafundi wanaoleta mteja/wateja kwao Lengo likiwa kuongeza mzunguko wa biashara Unapata faida kidogo lakini unauza mzigo Mkubwa
Sitaki kuamini said: Huu ni ukweli Click to expand... Ndiyo maana wachache wenye kujua ushindani wa hii biashara hutoa ofa ya shilingi 30 ama 50 Kwa madereva/ mafundi wanaoleta mteja/wateja kwao Lengo likiwa kuongeza mzunguko wa biashara Unapata faida kidogo lakini unauza mzigo Mkubwa
Sitaki kuamini JF-Expert Member Joined Aug 9, 2018 Posts 1,145 Reaction score 1,344 Aug 5, 2025 Thread starter #292 Wale mnaopanga kununua bajaj mgawe mikataba kwa vijana chungulieni na hii fursa huku
Sitaki kuamini JF-Expert Member Joined Aug 9, 2018 Posts 1,145 Reaction score 1,344 Aug 5, 2025 Thread starter #293 Wale mnaopanga kununua bajaj mgawe mikataba kwa vijana chungulieni na hii fursa huku
Sitaki kuamini JF-Expert Member Joined Aug 9, 2018 Posts 1,145 Reaction score 1,344 Aug 5, 2025 Thread starter #294 Wale mnaopanga kununua bajaj mgawe mikataba kwa vijana chungulieni na hii fursa huku
Sitaki kuamini JF-Expert Member Joined Aug 9, 2018 Posts 1,145 Reaction score 1,344 Aug 5, 2025 Thread starter #295 Wale mnaopanga kununua bajaj mgawe mikataba kwa vijana chungulieni na hii fursa huku
Sitaki kuamini JF-Expert Member Joined Aug 9, 2018 Posts 1,145 Reaction score 1,344 Aug 5, 2025 Thread starter #296
Sitaki kuamini JF-Expert Member Joined Aug 9, 2018 Posts 1,145 Reaction score 1,344 Aug 5, 2025 Thread starter #297 Wale mnaopanga kununua bajaj mgawe mikataba kwa vijana chungulieni na hii fursa huku
Sitaki kuamini JF-Expert Member Joined Aug 9, 2018 Posts 1,145 Reaction score 1,344 Aug 5, 2025 Thread starter #298 0740374705
Sitaki kuamini JF-Expert Member Joined Aug 9, 2018 Posts 1,145 Reaction score 1,344 Aug 8, 2025 Thread starter #299 Happy Nanenane day wakuu!
Sitaki kuamini JF-Expert Member Joined Aug 9, 2018 Posts 1,145 Reaction score 1,344 Aug 8, 2025 Thread starter #300 Tupo wazi karibuni tuwahudumie mashine za tofali