M mimione Member Apr 25, 2009 17 2 Jun 20, 2015 #1 Katika kituo cha Sombetini machine za kuandikisha Wapiga kura zimeharibika Masaa manne sasa watu wamesimama na wamechoka.
Katika kituo cha Sombetini machine za kuandikisha Wapiga kura zimeharibika Masaa manne sasa watu wamesimama na wamechoka.
Deo Corleone JF-Expert Member Jun 29, 2011 16,944 13,035 Jun 20, 2015 #2 Wewe unatakaje kujuandikisha wakati sio mtanganyika?
M mimione Member Apr 25, 2009 17 2 Jun 20, 2015 Thread starter #3 Deo Corleone said: Wewe unatakaje kujuandikisha wakati sio mtanganyika? Click to expand... Naona hujielewi wewe...
Deo Corleone said: Wewe unatakaje kujuandikisha wakati sio mtanganyika? Click to expand... Naona hujielewi wewe...
FRANCIS DA DON JF-Expert Member Sep 4, 2013 36,416 41,353 Jun 20, 2015 #4 mimione said: Katika kituo cha Sombetini machine za kuandikisha Wapiga kura zimeharibika Masaa manne sasa watu wamesimama na wamechoka Click to expand... Kwani zinatumia anti-virus gani?
mimione said: Katika kituo cha Sombetini machine za kuandikisha Wapiga kura zimeharibika Masaa manne sasa watu wamesimama na wamechoka Click to expand... Kwani zinatumia anti-virus gani?
Deo Corleone JF-Expert Member Jun 29, 2011 16,944 13,035 Jun 20, 2015 #5 mimione said: Naona hujielewi wewe... Click to expand... Sasa si uilize huko uliko?