Rehemadick
Member
- Aug 11, 2017
- 8
- 2
Jamani ninaomba kuuliza hivi kuna mashine za kufumia vitambaa vya makochi/nyuzi au masweta? Mimi nashida nayo napata tenda nyingi ila siwezi kufuma kwa wakati kama kuna mtu anajua aniambie na sehemu zinapopatikana.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app