Mashine za BVR zamkataa Anna Tibaijuka

Mashine za BVR zamkataa Anna Tibaijuka

Joined
Jan 2, 2014
Posts
94
Reaction score
18
Ameenda kujiandikisha mashine zikagoma kusoma alama za vidole amezunguka vituo vyote mashine zimemkataa kilicho baki ni wananchi na wao kumkataa kwenye uchaguzi mkuu.
 
Aisee mimi najua mashine zinakataa mikono migumu. Ina maana prof anafanya kazi ngumu?
 
Udaku mwingine wa kitotot na mburura wanadakia hata hawaulizi wapi, lini maana kwake bado. Vituo vyote vipi. Vilaza bwana na wakikutana na vilaza wenzao mbona ulaza?
 
Ameenda kujiandikisha mashine zikagoma kusoma alama za vidole amezunguka vituo vyote mashine zimemkataa kilicho baki ni wananchi na wao kumkataa kwenye uchaguzi mkuu.
Mungu ametaka tu kuwadhihirishia ukuu wake.

Wakati hao magamba wameendesha 'kisirisiri' tenda ya kuleta hizo BVR Kits, bila kuwashirikisha wadau wakuu wa vyama vinavyounda Ukawa.

Wenyewe 'walijiamini' kwa asilimia 100 kuwa mashine 'zao' za BVR zitakuwa zinagoma kuandikisha vidole vya wapinzani peke yao.

Sasa Mungu kawaheleleza na kuwaumbua vibaya sana na unafiki wao na kuwathibitishia kuwa yeye ni MUNGU MKUU ambaye ukuu wake huwezi kulinganisha na kitu chochote hapa duniani, kwa tafsiri nyingine ni kuwa MUNGU siyo ATHUMANI na ndiyo maana BVR hizo zimemgomea hadi huyo mama aliyefanya kufuru ya kudai kuwa milioni 10 kwake ni pesa ya kununua mboga tu.
 
Mama nae kazidi kuwa mfupa,hata wa kongoro unalainikaga,ebo!!!
 
Duh laana ya kutafuna mifedha ya umma inazidi kumwandama.
 
Huyu mama amefeli kila kitu kuanzia Kibamba city, Kigamboni city mpaka improvement ya Manzese slums. amepewa uwaziri ameutumia kujinufaisha na bilioni 1.6 alizobeba kwenye gunia. sasa kama mashine zimemkata INSHALLAH TUMEPONA
 
Udaku mwingine wa kitotot na mburura wanadakia hata hawaulizi wapi, lini maana kwake bado. Vituo vyote vipi. Vilaza bwana na wakikutana na vilaza wenzao mbona ulaza?

Mashine zimetambua wezi Hata wewe unayemtetea mwizi BVR itakukataa!
 
Licha ya kuwa anakula mboga ya milioni kumi ila hanenepi hana nyama hadi kwenye vidole
 
Udaku mwingine wa kitotot na mburura wanadakia hata hawaulizi wapi, lini maana kwake bado. Vituo vyote vipi. Vilaza bwana na wakikutana na vilaza wenzao mbona ulaza?

ndorobooo.....
 
Back
Top Bottom