TZ biashara
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 523
- 107
-OVEN kubwa mbili zenye deki 4 na ni pana zenye kutumika kiwandani
-MIXER mashine kubwa 2 za kukandia unga ambazo zina ukubwa tofauti na nitaweka vipimo baadae
-MOULDER mashine moja ya kutengenezea au kukata na kupima kama sikosei scones( Record 30 piece automatic bun divider moulder)
- MASHINE moja ya kukatia mikate
-FRENCH BREAD MACHINE moja (kutengeneza mikate mirefu) au Turni Pinner Finger Moulder
-MOULDER mashine moja ya kutumia mkono ya kuweka mezani
-PROOVER mashine au kama chumba cha kuumulia unga yenye ukubwa wa fidge au kuizidi kidogo kwa urefu
-Plastic za kuwekea mikate kama sikosei 20 au 25
-TREYS za kupikia mikate ambayo idadi yake nimeisahau na nimeshindwa kuingia stoo kutokana na nafasi ndogo
Hivi vitu vyote thamani yake ni kubwa kuliko bei ninayoiuza kwasababu ya hasara nahitaji milioni 35.Tatizo lingine ni OVEN moja lipo Dodoma na vitu vingine vipo DAR.Naomba kwa mwenye kuhitaji vifaa hivi anitumie ujumbe kupitia PM kutokana na kutokuwepo nchini na baadae nitaweza kumpa contact ya uhakika.
MAONGEZI YAPO
Last edited by TZ biashara; 29th August 2012 at 11:32.
Wapo wanaopenda kuona na kusikia lakini wapo wanaojifanya vipofu na viziwi
Edit Post
Reply
Reply With Quote