Mashine ya kupukuchua mahindi

Mashine ya kupukuchua mahindi

muhandu

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2011
Posts
311
Reaction score
84
Salama wana wapendwa. Nahitaji mashine ya kupukuchua mahindi. Niko mwanza mjini. Kuna namba ambazo nomechukua hapa jukwaani lakini wahusika hawapatikani. Kuna moja kutoka Zanzibar na ingine ngome. Wasiliana nami kwa 0754710823

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom