Mashine ya kupukuchua mahindi

Mashine ya kupukuchua mahindi

Biashara2000

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2013
Posts
624
Reaction score
548
Mashine ya kupukuchulia mahindi inauzwa zunatengenezwa kwa oda. Bei yake mil. 3 na INA uwezo wa kupukuchua gunia kubwa moja la mahindi ktk dk 15

Unaweza nitafuta watsup 0758 308 193 nikupe clip jinsi inavyofanya kazi

hqdefault.jpg
 
Unaposema gunia moja kubwa hueleweki sema ni kilo ngapi kwa uo muda? Pia naona bei yako iko juu sana nanenane nilikuta ya mil1 na laki tatu inapukucha zaidi ya icho kiwango kwa muda huo
 
Unaposema gunia moja kubwa hueleweki sema ni kilo ngapi kwa uo muda? Pia naona bei yako iko juu sana nanenane nilikuta ya mil1 na laki tatu inapukucha zaidi ya icho kiwango kwa muda huo
Mkuu hiyo uliyo ikuta nanenane inatumia nishati gani?
 
Hii inatumia umeme. Unit 50 za umeme single phase kwa week. Zile za diesel gharama ya mafuta inakuwa kubwa ndio maana inauzwa kwa bei hiyo. Gunia la kilo 100 lililojazwa mahindi ndio hupukuchuliwa ktk muda huo. Ila tunaweza negotiate bei
 
Pia tuna mashine nyingine km concrete mixer manual 400,000, honey extractor 200,000, ya kutengenrza mkaa wa kisasa manual 400,000 yenye mkaa pisi kubwa nk
 
Back
Top Bottom