Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,010 Reaction score 60,483 May 29, 2018 #1 Samsung Washing Machine inauzwa ikiwa kwenye excellent condition kabisa. Ilinunuliwa mwaka jana mwanzoni na haina tatizo lolote. Bei ni 700k ila mazungumzo kidogo yanawezekana. Kama uko interested call or watssap 0652640205
Samsung Washing Machine inauzwa ikiwa kwenye excellent condition kabisa. Ilinunuliwa mwaka jana mwanzoni na haina tatizo lolote. Bei ni 700k ila mazungumzo kidogo yanawezekana. Kama uko interested call or watssap 0652640205
Adharusi JF-Expert Member Joined Jan 22, 2012 Posts 14,493 Reaction score 7,421 May 29, 2018 #2 Dukani ni shiling ngapi
Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,010 Reaction score 60,483 May 29, 2018 Thread starter #3 Adharusi said: Dukani ni shiling ngapi Click to expand... 1,099,000
Ulongupanjala JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 8,523 Reaction score 14,002 May 29, 2018 #4 Nakushauri kwa hali ilivyo akitokea mtu mwenye laki 5,usiache.!
M mojave JF-Expert Member Joined Apr 30, 2016 Posts 5,578 Reaction score 6,443 May 29, 2018 #5 Emilias G said: Nakushauri kwa hali ilivyo akitokea mtu mwenye laki 5,usiache.! Click to expand... Watz buana, sema wewe ndo unataka kwa laki 5
Emilias G said: Nakushauri kwa hali ilivyo akitokea mtu mwenye laki 5,usiache.! Click to expand... Watz buana, sema wewe ndo unataka kwa laki 5
Ulongupanjala JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 8,523 Reaction score 14,002 May 29, 2018 #6 Wewe toa hiyo bei anayotaka mtoa mada. Wenzio tupo JF miaka,tuna uzoefu na biashara zinazofanyika humu,labda nje ya JF unaweza kuuza hata milioni 2.
Wewe toa hiyo bei anayotaka mtoa mada. Wenzio tupo JF miaka,tuna uzoefu na biashara zinazofanyika humu,labda nje ya JF unaweza kuuza hata milioni 2.
Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,010 Reaction score 60,483 May 30, 2018 Thread starter #7 Bado ipo!
neliville JF-Expert Member Joined Jan 26, 2017 Posts 202 Reaction score 177 Jun 1, 2018 #8 Lizzy said: Bado ipo! Click to expand... Unaweza nitumia Dodoma je ni ya kilo ngapi
Naby Keita JF-Expert Member Joined Oct 20, 2011 Posts 12,891 Reaction score 20,135 Apr 28, 2020 #9 Kala kona
James Hadley Chase JF-Expert Member Joined Mar 25, 2020 Posts 2,145 Reaction score 3,968 Mar 22, 2022 #10 Naby Keita said: Kala kona Click to expand... Anaoshea vyombo siku hizi
Masseto JF-Expert Member Joined May 14, 2020 Posts 1,625 Reaction score 3,233 Mar 22, 2022 #11 iyo ndoo apo pembeni umeweka nini
Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,010 Reaction score 60,483 Mar 22, 2022 Thread starter #12 Masseto said: iyo ndoo apo pembeni umeweka nini Click to expand... Maharage!