Mashine ya juice ya miwa

Mashine ya juice ya miwa

Kama hii ukiikuta Africa Kusini hata kama inauzwa 4,500,000/= , we nunua tu, lkn Bongo hapa hata kama unauzwa tsh.150,000/=, ni majanga.
 
Nilikuwa naitaka sana hii mashine ila kwasasa uchumi umeyumba kidogo ngojà nijipange mwezi wa kumi na mbili nakuja kuchukuwa.Ila bei mkuu shusha kidogo
 
Mkuu huku nilipo umeme ni shida Sana, vipi naweza ipata inayoweza fanya kazi katika mazingira Ya uwepo wa umeme na usipokuwepo? Kama unayo niinibox mawasiliano yako
Hapana hii ni ya umeme tu.
Unaweza tumia generator.
 
Kama hii ukiikuta Africa Kusini hata kama inauzwa 4,500,000/= , we nunua tu, lkn Bongo hapa hata kama unauzwa tsh.150,000/=, ni majanga.


Ndugu hilo kitu unayosema sio kweli nini ni mtumiaji mzuri ya juise ya miwa na kila mahali ninapopita kupata huduma hiyo watu wanatengeneza pesa nzuri,Sasa kama wewe unachagua kazi ya kufanya sawa ila hiyo ni biashara inayolipa sana.

LUMUMBA
 
Back
Top Bottom