kalikumutima
Senior Member
- Oct 9, 2014
- 147
- 47
Naomba msaada kwa anayeelewa matumizi ya mashine za EFD kwani TRA wanasisitiza Sana wafanyabiasha kuwa nazo.Mfano mimi mtaji wangu ni laki4 nimeambiwa ninunue mashine nimeulizia mashine yenyewe bei yake laki5 na 90 sasa hapo nachanganyikiwa na kutokuelewa intention ya hawa maafisa wa TRA kama ugumu wa biashara na uhalisia wa mambo kama wanauelewa.