ComputersDAR
JF-Expert Member
- Jan 21, 2013
- 213
- 242
Nauza mashine mpya inang'aa ya vinywaji baridi aina ya Te Li Da.
Ina mitungi miwili ya lita 18 kila mtungi (jumla lita 36).
Imenunuliwa mpya Kariakoo mwezi wa 7 kwa milioni 1, na imefanya kazi takriban wiki 2 tu.
Bei ni laki 7 (Tshs 700,000)
Nipo maeneo ya Mbezi Beach
Anayehitaji wasiliana 0676190328
View attachment 424996
Ina mitungi miwili ya lita 18 kila mtungi (jumla lita 36).
Imenunuliwa mpya Kariakoo mwezi wa 7 kwa milioni 1, na imefanya kazi takriban wiki 2 tu.
Bei ni laki 7 (Tshs 700,000)
Nipo maeneo ya Mbezi Beach
Anayehitaji wasiliana 0676190328