Kwa faida ya wachezaji na mabosi wanaotaka kutembea na ma Ps wao kwa kuwapeleka nje ya eneo mbali na waume zao ili wakawale uroda!Maana hata ukifuatilia wengi ni kinadada ma Ps wafagia ofisi,mamesenja na alikes ndo wanaenda huko kisha utakuta vidume vinawafuata hukohuko walipokwenda!!!Hata hivyo naomba kumpongeza yule jamaa wa aliyetengeneza movi maarufu uliyochanganya wakina ponda potepote...walipo maana imeonesha ukweli kwa kiasi kikubwa kwamba jamaandivyo walivyo maana wamefanya vurugu tofauti na mafundisho yanavyowataka na kumpa umaarufu mtengenezaji