92 jerrie JF-Expert Member Joined Feb 28, 2022 Posts 7,425 Reaction score 17,063 Dec 27, 2023 #61 100 others said: View attachment 2854134 View attachment 2854135 Wote mlioanzisha haya mashindano, haziombwi hivyo. Click to expand... Niliandika hapa nyege ni kitu mbaya sana imagine mtu anajenga picha kichwani ya memba humu aalfu anahitimisha kuwa ni mrembo angali hawajawahi hata onana au hata kuona picha yake mkuu nyege haijawahi acha mtu salama na asiaibike
100 others said: View attachment 2854134 View attachment 2854135 Wote mlioanzisha haya mashindano, haziombwi hivyo. Click to expand... Niliandika hapa nyege ni kitu mbaya sana imagine mtu anajenga picha kichwani ya memba humu aalfu anahitimisha kuwa ni mrembo angali hawajawahi hata onana au hata kuona picha yake mkuu nyege haijawahi acha mtu salama na asiaibike
Demi JF-Expert Member Joined Nov 22, 2016 Posts 42,504 Reaction score 94,613 Dec 27, 2023 #62 Kumbe watu mpo serious kihivyo
Donatila JF-Expert Member Joined Oct 23, 2014 Posts 8,247 Reaction score 25,188 Dec 27, 2023 #63 Demi said: Kumbe watu mpo serious kihivyo Click to expand... Watu wanachukulia Kila jambo serious.. Watu wa aina hii wanateseka sana..
Demi said: Kumbe watu mpo serious kihivyo Click to expand... Watu wanachukulia Kila jambo serious.. Watu wa aina hii wanateseka sana..
Demi JF-Expert Member Joined Nov 22, 2016 Posts 42,504 Reaction score 94,613 Dec 27, 2023 #64 Donatila said: Watu wanachukulia Kila jambo serious.. Watu wa aina hii wanateseka sana.. Click to expand... Au mshindi anapewa pesa niambieni mapema nianze kampeni
Donatila said: Watu wanachukulia Kila jambo serious.. Watu wa aina hii wanateseka sana.. Click to expand... Au mshindi anapewa pesa niambieni mapema nianze kampeni
jo5 JF-Expert Member Joined Dec 15, 2022 Posts 897 Reaction score 1,384 Dec 27, 2023 #65 Kudadeki, kumbe watu wako serious 🤣🤣🤣