mansoorsaid
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 1,498
- 286
- Thread starter
- #21
africa mashariki walianzisha mashindano ya mpira wa miguu kwa virabu mwaka 1974 kwa lengo la kuinua mpira wa miguu kwa ukanda huu cha ajabu chama hicho kimekuwa chama cha ulaji pesa hakuna maendeleo yoyote mpira unazidi kudumaa mpaka sasa ni miaka40 mfumo utatibu ni uleule haubadilishwi ili kuboresha mpira wa miguu inasikitisha inahuzunisha watu wanaendelea kuishabikia cecafa