Mashindano ya Kagame ni sawa na bonanza

Mashindano ya Kagame ni sawa na bonanza

mansoorsaid

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2014
Posts
1,498
Reaction score
286
Chama cha mpira wa miguu CACAFA mashindano yake ni sawa na mashindano ya kugombea mbuzi (ndondo) hawana huduma yoyote kwa timu shiriki hawatoi hata jezi viatu nk

Naishangaa TFF inavyoburuzwa na musonye sijamsikia weka hazina, kamati ya mashindano,sijasikia kamati ya maadili sijasikia mahakama ya CACAFA namsilia musonye.nashangaa hata vyombo vya habari hapa nchini havihoji vitu kama hivyo

CECAFA wamewakataa Yanga kwa sababu imepeleka timu B, na kwa hivyo kushusha hadhi ya mashindano ya Kagame. Tuwe wa kweli:

1. Mashindano gani yenye hadhi duniani huhusisha mabingwa wa mwaka uliotangulia?

2. Mashindano gani yenye hadhi duniani yanakosa nchi washindani wa kuyaandaa mpaka dakika za mwisho itokee nchi moja ya kuyaokoa?

3. Mashindano gani yenye hadhi duniani yanafunguliwa saa nane mchana wa siku ya kazi kwenye jua kali, sio kwa mechi moja ya ufunguzi bali na mechi ya pili baadaye kwenye uwanja huohuo?

4. Mashindanogani yenye hadhi duniani hushirikisha timu kutoka nje ya zilizoainishwa kwenye kanuni, ili kuyasaidia kuongeza mvuto?

5. Mashindano gani yenye hadhi duniani yanabadlishwa mfumo karibu kila mwaka?

6. Mashindano gani yenye hadhi duniani yanajali zaidi majina ya wachezaji ambao waandaaji wanajua fika hawakushiriki kwenye maandalizi ya timu yao, na kudharau mchanganyiko wa wazoefu wachache wasio maandalizi na vijana wengi walioandaliwa?

7. Mashindano gani yenye hadhi duniani yanashindwa kujipanga ili yasianze baada tu ya mechi za timu FIFA za timu za Taifa?

8. Mashindano gani yenye hadhi duniani yanaendana sambamba na mwanzo wa msimu wa Ligi kwa kalenda ya FIFA?

9. Mashindano gani yenye hadhi duniani hayahakikishi bingwa wake anakabidhiwa fedha zake siku ya fainali?

10. Mashindano gani yenye hadhi duniani hukabidhi fedha zake za washindi 'vichochoroni' kwenye bahasha za kaki, na kuwaacha wachezaji na viongozi wakikwapuana bahasha hiyo?

Mashindano gani yenye hadhi duniani huongeza timu wazipendazo, eti kwa sababu timu hizo zina washabiki wengi?Nionavyo, Yanga wako sahihi kujiandaa na mashindano yenye hadhi zaidi kuliko kun'gan'gana na ambayo waandaaji wake ni miongoni mwa vinara wa ubabaishaji duniani.

Haiwezekani kujiandaa kwa ligi kupitia kwenye ligi. Kisa cha timu za Ulaya kwenda Marekani na Asia kwamaandalizi ya Ligi zao ni kukimbia ligi za upinzani (competitive league/matches). Hata wakicheza Man U na Liverpool, kanuni zake ni za kishikaji zaidi, zinazoruhusu wachezaji wengi zaidi kwa kila timu, ili kupunguza uwezekano wa majeruhi. Ndivyo ilivyo Kagame?

Tutegemee Azam yenye majeruhi kabla ya kuanza ligi, labda kama watatolewa mwanzoni.
 
Imesikitisha sana! Imeduwaza mno! Sio kwa mashabiki wa Yanga tu bali pia kwa wadau wa soka...!imeuma !! Lakini ni sahihi kumtupia lawama Musonye? Mbona viongozi walishaonyesha nia ya kutopeleka timu toka mwanzo? Hii dharau au kiburi wanatoa wapi au nini chanzo?
Kusema ni bonanza ni sawa na 'yule'aliyesema sizitaki mbichi hizi baada ya kushindwa kuzipata..!
 
....hahahahahaha..TP Mazembe waliwahi kumpiga refa kagame cup ...
 
Chama cha mpira wa miguu CACAFA mashindano yake ni sawa na mashindano ya kugombea mbuzi (ndondo) hawana huduma yoyote kwa timu shiriki hawatoi hata jezi viatu nkNaishangaa TFF inavyoburuzwa na musonye sijamsikia weka hazina, kamati ya mashindano,sijasikia kamati ya maadili sijasikia mahakama ya CACAFA namsilia musonye.nashangaa hata vyombo vya habari hapa nchini havihoji vitu kama hivyo
Kiongozi,yamegeuka bonanza mwaka huu?
 
Actually kama Mashabiki wa Yanga tunahitaji kujua nini kinaendelea kuhusiana na haya mashindano
 
Mwanzisha mada nasikitika kukuambia hoja yako haina mashiko. Kwani wakati Yanga na Watanzania wengine wanakesha kushangilia ushindi wa Kagame miaka miwili yaliyopita uliandika hiki ulichokiandika? Haikuwa Kagame hii hii? Hii ni double standard ya kiwango cha kutisha

Acheni tabia za kuunga mkono hata maamuzi yasiyo na maana kutoka kwa viongozi wa soka la bongo!
 
Mwanzisha mada nasikitika kukuambia hoja yako haina mashiko. Kwani wakati Yanga na Watanzania wengine wanakesha kushangilia ushindi wa Kagame miaka miwili yaliyopita uliandika hiki ulichokiandika? Haikuwa Kagame hii hii? Hii ni double standard ya kiwango cha kutisha

Acheni tabia za kuunga mkono hata maamuzi yasiyo na maana kutoka kwa viongozi wa soka la bongo!

hvi ni wap kwenye katiba ya cecafa kumekataza kupeleka kikosi cha pili au kuna kanuni ya madhndano ya cecafa inayothbitisha umri unaotakiwa kwenye mashidano hayo?na je kuna kigezo cha ulazma wa timu kupeleka wachezaj wenye majina makubwa?kumbka ni hii hii cecafa iliialika ivory coast kwenye challange wakaleta vjana mbna hawakuwagomea kma co hao vjana kina kipre balou na cheche wangeonekana wap,pamoja kuwa yanga nao wanamakosa cecafa wanapenda pesa kuliko mpira walwafungulia yanga miaka miwli iliyooita kisa cecafa ilifanyka bongo walijua bila hvyo mashndano yangekosa idad kubwa ya mapato ni uhuni mkubwa!
 
Yawezekana sana hii ikawa moja ya sababu za kiburi na dharau ya viongozi kutojali hisia za wapenzi na mashabiki wa Yanga..!
Tabia hizi za kulialia hadharani!
 
Chama cha mpira wa miguu CACAFA mashindano yake ni sawa na mashindano ya kugombea mbuzi (ndondo) hawana huduma yoyote kwa timu shiriki hawatoi hata jezi viatu nk

Naishangaa TFF inavyoburuzwa na musonye sijamsikia weka hazina, kamati ya mashindano,sijasikia kamati ya maadili sijasikia mahakama ya CACAFA namsilia musonye.nashangaa hata vyombo vya habari hapa nchini havihoji vitu kama hivyo

Naomba Kuuliza Je Yanga Ingekwenda Ungeyaitaje?
 
CECAFA wamewakataa Yanga kwa sababu imepeleka timu B, na kwa hivyo kushusha hadhi ya mashindano ya Kagame. Tuwe wa kweli:

1. Mashindano gani yenye hadhi duniani huhusisha mabingwa wa mwaka uliotangulia?

2. Mashindano gani yenye hadhi duniani yanakosa nchi washindani wa kuyaandaa mpaka dakika za mwisho itokee nchi moja ya kuyaokoa?

3. Mashindano gani yenye hadhi duniani yanafunguliwa saa nane mchana wa siku ya kazi kwenye jua kali, sio kwa mechi moja ya ufunguzi bali na mechi ya pili baadaye kwenye uwanja huohuo?

4. Mashindanogani yenye hadhi duniani hushirikisha timu kutoka nje ya zilizoainishwa kwenye kanuni, ili kuyasaidia kuongeza mvuto?

5. Mashindano gani yenye hadhi duniani yanabadlishwa mfumo karibu kila mwaka?

6. Mashindano gani yenye hadhi duniani yanajali zaidi majina ya wachezaji ambao waandaaji wanajua fika hawakushiriki kwenye maandalizi ya timu yao, na kudharau mchanganyiko wa wazoefu wachache wasio maandalizi na vijana wengi walioandaliwa?

7. Mashindano gani yenye hadhi duniani yanashindwa kujipanga ili yasianze baada tu ya mechi za timu FIFA za timu za Taifa?

8. Mashindano gani yenye hadhi duniani yanaendana sambamba na mwanzo wa msimu wa Ligi kwa kalenda ya FIFA?

9. Mashindano gani yenye hadhi duniani hayahakikishi bingwa wake anakabidhiwa fedha zake siku ya fainali?

10. Mashindano gani yenye hadhi duniani hukabidhi fedha zake za washindi 'vichochoroni' kwenye bahasha za kaki, na kuwaacha wachezaji na viongozi wakikwapuana bahasha hiyo?

Mashindano gani yenye hadhi duniani huongeza timu wazipendazo, eti kwa sababu timu hizo zina washabiki wengi?Nionavyo, Yanga wako sahihi kujiandaa na mashindano yenye hadhi zaidi kuliko kun'gan'gana na ambayo waandaaji wake ni miongoni mwa vinara wa ubabaishaji duniani.

Haiwezekani kujiandaa kwa ligi kupitia kwenye ligi. Kisa cha timu za Ulaya kwenda Marekani na Asia kwamaandalizi ya Ligi zao ni kukimbia ligi za upinzani (competitive league/matches). Hata wakicheza Man U na Liverpool, kanuni zake ni za kishikaji zaidi, zinazoruhusu wachezaji wengi zaidi kwa kila timu, ili kupunguza uwezekano wa majeruhi. Ndivyo ilivyo Kagame?

Tutegemee Azam yenye majeruhi kabla ya kuanza ligi, labda kama watatolewa mwanzoni.
 
mtoa hoja anaonekana ni maamuma hasa wa mpira.huyu ni wale wanaokaa kwenye jengo la yanga hawana hata kazi wanamlambalmba manji miguu.mwaka juzi yanga imechukua kombe la kagame imelipeleka mpaka rwanda na kushangilia sana,manji alinunua sana mechi ili kulipata kombe hilo leo huyu mtu anasema kombe hili ni sawa na la mbuzi?is she ok kweli?atakuwa ni mdada tu huyu hajui mambo ya mpira.mashindano yana kanuni na huruhusiwi kupeleka team kikosi cha pili hata uingereza nenda utaambiwa hivyo,ndo maana uk hata kugombea ngao watu wanakaza buti maana wanajua hakuna mechi ya mchezo hta kidogo.wewe mpira unaujulia wapi dada yangu?sisi wapenzi wa mpira tunaelewa kila mashindano ni muhimu .hapa ndo tungeweza kuipima timu na kugundua madhaifu na strengths zake.we unaleta ubabaishaji na kupost mambo ya hovyo hovyo mbele ya watu wenye uelewa wao? acha kabisa.nenda tu kakojoe ukalale.maana naona sasa unaanza kutaka kuonesha jinsi gan ulivyo maamuma.si ungekaa kimya tu?
 
Pamoja na mapungufu yake Kagame Cup bado ndilo kombe la kimataifa pekee ambalo Yanga wamelishinda mara kadhaa.Yanga au Simba zote mbili kombe lao pekee la kimataifa kwa vilabu ni Kagame cup!

Hawana kombe lolote kubwa kuliko hili sasa sijui ni kwanini wanajifanya wao ni wakubwa kuliko kombe hili?Mashindano ya Afrika kila mwaka wao ni wasindikizaji tu.Timu za Magharibi na Kaskazini Afrika hufurahia kukutana na timu zetu kwakuwa zinachukuliwa kama timu dhaifu sana.

Ingekuwa Al Ahl au Zamalek au TP mazembe au Raja Casablanca au Asek nisingeshangaa kwakuwa ni timu za mashindano makubwa.Sasa Yanga kudharau Kagame ni mashindano gani makubwa kuliko Kagame Yanga hufanya vizuri?Huku Afrika imejitahidi sana Yanga basi wamecheza mechi nne!
 
niliwambia mashindano hayo ni kama bonanza watu hawaelewi hao wachezaji waliotaka kupelekwa hata tff waliwathibitisha.
katibu wa yanga wametoa ufafanuzi sasa kama sio kweli tff wapinge
Musonye asifikiri yanga yakubururuzwa kama tff
nawatahadharisha tff cecafa ndio inadumaza mpira A mashariki.
nawashauri tff ni bora wajitoe cecafa wajiunge na cosafa kwa ajiri ya timu ya taifa kule watacheza na zimbabwe,angola boswana s. africa zambia na nyinginezo
 
Yanga ni club ya kipumbavu. Inaongozwa na wazee wa timu wa miaka 70 wakati dunia inabadilika, tunahitaji proffessionalism tanzania. Lasivyo wacha tukomae na manchester united yetu
 
Yanga ni club ya kipumbavu. Inaongozwa na wazee wa timu wa miaka 70 wakati dunia inabadilika, tunahitaji proffessionalism tanzania. Lasivyo wacha tukomae na manchester united yetu

umetumwa!!! naona umekurupuka kutoa tuhuma zisizo na maana
 
Chama cha mpira wa miguu CACAFA mashindano yake ni sawa na mashindano ya kugombea mbuzi (ndondo) hawana huduma yoyote kwa timu shiriki hawatoi hata jezi viatu nk

Naishangaa TFF inavyoburuzwa na musonye sijamsikia weka hazina, kamati ya mashindano,sijasikia kamati ya maadili sijasikia mahakama ya CACAFA namsilia musonye.nashangaa hata vyombo vya habari hapa nchini havihoji vitu kama hivyo

kwa chama hicho nilicho bold kweli mashindano yao ni bonanza lakini CECAFA nimashindano makuu ya kanda ya Africa Mashariki na Kati....nawakilisha
 
kwa chama hicho nilicho bold kweli mashindano yao ni bonanza lakini CECAFA nimashindano makuu ya kanda ya Africa Mashariki na Kati....nawakilisha

ni makosa ya uchapaji jua cecafa
 
Back
Top Bottom