Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,435
- 5,228
Mgombea ubunge Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amefanyiwa dua ya kumwombea kushinda uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025.
Dua hiyo ambayo pia imeombea amani katika uchaguzi imefanyika leo Jumanne Septemba 9, 2025 katika ofisi za Baraza Kuu la Waislamuwa Tanzania (Bakwata), Ofisi ya Mkoa wa Arusha ikiongozwa na Sheikh wa Wilaya Arusha, Hassan Junje.
Soma Pia: Paul Makonda ateuliwa kugombea ubunge jimbo la Arusha Mjini
Makonda anatarajiwa kuanza kampeni Ijumaa Septemba 12, 2025 huku mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Mgombea mwenza wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi.
Dua hiyo ambayo pia imeombea amani katika uchaguzi imefanyika leo Jumanne Septemba 9, 2025 katika ofisi za Baraza Kuu la Waislamuwa Tanzania (Bakwata), Ofisi ya Mkoa wa Arusha ikiongozwa na Sheikh wa Wilaya Arusha, Hassan Junje.
Soma Pia: Paul Makonda ateuliwa kugombea ubunge jimbo la Arusha Mjini
Makonda anatarajiwa kuanza kampeni Ijumaa Septemba 12, 2025 huku mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Mgombea mwenza wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi.